Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Nakubaliana na wewe mkuu, kwa spidi hii ya akina Mchemba, Nape, Komba n.k. hawa jamaa wao hata KUUA ili mradi CCM ibaki madarakani si tatizo kwao. CCM is getting out of hands na hawa "wahuni" wana nguvu humo!
Mkuu umegundua jambo KUU!!
" WAHUNI WANA NGUVU MMNO" .... Be Blessed for this vision!!
Ni Kwa CCM wao wenyewe kwa wenyewe kugawanyika ..ili kuweza KU NEUTRALIZE THE WRONG IN THEM NA KU BALANCE NATIONAL POLITICAL FORCES!!!
Kama usalama wa Taifa unapenda ki ukweli USALAMA WA TAIFA HILI ... WAO NDO WARATIBU MAPASUKO HUU HARAKA SANA!!!