KWA HILI LA LEO, Mh Pinda nakuunga mkono!!

CR wa PROB

Senior Member
Sep 21, 2011
170
29
Leo ni mara yangu ya pili kukusikia mh Pinda ukizungumzia maswala yanayoigusa jamii,

Kwa kifupi leo nimefarijika sana kumwona waziri mkuu wetu akiwa anawaonya na kuwakemea viongozi ambao wanatumia pesa za walipa kodi kuingia kwenye misafara mingi pale wanapoona kuna kiongozi mkubwa serikalini amekuja kwenye maeneo yanayowazunguka, kwa nchi kama Tanzania imekuwa kama desturi ya viongozi waandamizi wa wilaya na mikioa kuingia kwenye misafara isiyowahusu huku wakiwa wanatumia vibaya pesa za walipa kodi kwenye kujipangia marupurupu ya per day pamoja na mafuta siku akija kiongozi mkubwa serikalini.

Kiukweli Mh Pinda kwa nafsi yangu umenifurahisha ulipowaambia wawatembelee watu kwa muda wao bali sio kusubiri upite wewe kama waziri mkuu ndio wakufuate nyuma kwenye msafara wako, kwa hili Pinda nakupa big up sana!!!

MUNGU IBARIKI AFRICA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Leo ni mara yangu ya pili kukusikia mh Pinda ukizungumzia maswala yanayoigusa jamii,

Kwa kifupi leo nimefarijika sana kumwona waziri mkuu wetu akiwa anawaonya na kuwakemea viongozi ambao wanatumia pesa za walipa kodi kuingia kwenye misafara mingi pale wanapoona kuna kiongozi mkubwa serikalini amekuja kwenye maeneo yanayowazunguka, kwa nchi kama Tanzania imekuwa kama desturi ya viongozi waandamizi wa wilaya na mikioa kuingia kwenye misafara isiyowahusu huku wakiwa wanatumia vibaya pesa za walipa kodi kwenye kujipangia marupurupu ya per day pamoja na mafuta siku akija kiongozi mkubwa serikalini.

Kiukweli Mh Pinda kwa nafsi yangu umenifurahisha ulipowaambia wawatembelee watu kwa muda wao bali sio kusubiri upite wewe kama waziri mkuu ndio wakufuate nyuma kwenye msafara wako, kwa hili Pinda nakupa big up sana!!!

MUNGU IBARIKI AFRICA, MUNGU IBARIKI TANZANIA

attachment.php


Tatizo si mawaziri na waandamizi, ila kiongozi wa juu akiwa ovyoooo na wachini yake watakuwa viyo hivyo. Mkuu wa nchi ukijilegeza kihivyo utamsahihishaje Mwigulu Mchema kule Igunga?
 
Candidate scope mbona kila jambo tunataka kumwagia lawama mkuu wa nchi?? MNYONGE MYONGENI HAKI YAKE MPENI,kunya anye bata akinya kuku kaharisha,hebu punguzeni chuki kwa mkulu wa nchitu, MFUMILE KUTALI NJILE KUTALI. Safari yakuikomboa tz bado ndefu.
 
Candidate scope mbona kila jambo tunataka kumwagia lawama mkuu wa nchi?? MNYONGE MYONGENI HAKI YAKE MPENI,kunya anye bata akinya kuku kaharisha,hebu punguzeni chuki kwa mkulu wa nchitu, MFUMILE KUTALI NJILE KUTALI. Safari yakuikomboa tz bado ndefu.

Lawama lazima abebe yeye coz anakumbatia wazembe na yeye pia ni mzembe ndani ya serikali legelege
 
Pinda hana lolote anaongea maneno matamu na mazuri ila vitendo kamwe hatekelezi. Kama hili la sukari ndo limebamba moto kwelikweli utafikiri ndo aliwakumburasha. Police wa boda ya tarakea wanapaki magari yao barabarani kusubiria malori ya sukari na mahindi kwa kila lori kuna sehemu wanaacha laki moja na sehem nyingine elfu 30. Madereva wa magari hayo wamesema mpaka kuingia kenya wanatumia takribani laki saba na elfu ishirini (720,000) kuhonga police njiani mpaka kuingia kenya.
Source macho yangu
 
Pinda hana lolote anaongea maneno matamu na mazuri ila vitendo kamwe hatekelezi. Kama hili la sukari ndo limebamba moto kwelikweli utafikiri ndo aliwakumburasha. Police wa boda ya tarakea wanapaki magari yao barabarani kusubiria malori ya sukari na mahindi kwa kila lori kuna sehemu wanaacha laki moja na sehem nyingine elfu 30. Madereva wa magari hayo wamesema mpaka kuingia kenya wanatumia takribani laki saba na elfu ishirini (720,000) kuhonga police njiani mpaka kuingia kenya.
Source macho yangu

mkuu nimeipenda hii. Thanx lakini kwa taarifa. Yaelekea polisi ni kitu kingine na serikali ni kitu kingine vile vile.
 
Candidate scope mbona kila jambo tunataka kumwagia lawama mkuu wa nchi?? MNYONGE MYONGENI HAKI YAKE MPENI,kunya anye bata akinya kuku kaharisha,hebu punguzeni chuki kwa mkulu wa nchitu, MFUMILE KUTALI NJILE KUTALI. Safari yakuikomboa tz bado ndefu.

Mchezaji ukishaingia uwanjani fanya tunachotazamia, lakini kinyume chake tutakuzomea tu kwa vile sisi tupo kwa ajili ya kukuangalia unavyosukuma gozi. Kama husukumi gozi tunavyotazamia basi kaa bench waachie wanaoweza.

Haya yanayofanyika yanachefua, kuendekeza kuembea wakati home matatizo chungu mzima. Tulimchagua kwa ajili ya kutumikia Taifa la tanzania si kwa ajili ya kufanya show huko ng'ambo.

Angefanya hivyo wakati matatzo ameyaondoa hakuna wakumshangaa, na tungekuwa mstari wa mbele kumshabikia aendelee kulitangaza taifa letu kwa mataifa.
 
Pinda kishaongea mengi sana hadi kulia but hakuna yanayotekelezwa.

nimeipenda hii mesy,
CCM wametudanganya kwa lugha kauli, misemo, sera nk. watanzania wa leo tunataka macho yaone kitu kikifanyika. mfano: yeye kama waziri mkuu anakauli gani kuhusu misikiti kuingilia siasa na kuwaambia waumini kwa kutangaza hdharani kuwa wasichague chama fulani? na wakati wa uchaguzi mkuu na hata baada ya uchaguzi walikuwa wakiimba sana suala la udini?
 
Candidate scope mbona kila jambo tunataka kumwagia lawama mkuu wa nchi?? MNYONGE MYONGENI HAKI YAKE MPENI,kunya anye bata akinya kuku kaharisha,hebu punguzeni chuki kwa mkulu wa nchitu, MFUMILE KUTALI NJILE KUTALI. Safari yakuikomboa tz bado ndefu.

Siyo bure anaumwa huyu! Hawa ndiyo ambao walikuwa na ndoto za kuinua maisha binafsi kama wagombea wao wangepita sasa hasira zao ndo wanazionyesha humu. Kaka jitahidi mwenyewe, hakuna popote duniani unakopewa vya bure.
 
Leo ni mara yangu ya pili kukusikia mh Pinda ukizungumzia maswala yanayoigusa jamii,

Kwa kifupi leo nimefarijika sana kumwona waziri mkuu wetu akiwa anawaonya na kuwakemea viongozi ambao wanatumia pesa za walipa kodi kuingia kwenye misafara mingi pale wanapoona kuna kiongozi mkubwa serikalini amekuja kwenye maeneo yanayowazunguka, kwa nchi kama Tanzania imekuwa kama desturi ya viongozi waandamizi wa wilaya na mikioa kuingia kwenye misafara isiyowahusu huku wakiwa wanatumia vibaya pesa za walipa kodi kwenye kujipangia marupurupu ya per day pamoja na mafuta siku akija kiongozi mkubwa serikalini.

Kiukweli Mh Pinda kwa nafsi yangu umenifurahisha ulipowaambia wawatembelee watu kwa muda wao bali sio kusubiri upite wewe kama waziri mkuu ndio wakufuate nyuma kwenye msafara wako, kwa hili Pinda nakupa big up sana!!!

MUNGU IBARIKI AFRICA, MUNGU IBARIKI TANZANIA

Sikupata kuwa na mashaka na mtoto wa Mkulima. Hakurupuki wala hataki misifa ya kijinga na kudhalilisha watu kwenye mikutano ya hadhara.
 
Leo ni mara yangu ya pili kukusikia mh Pinda ukizungumzia maswala yanayoigusa jamii, Kwa kifupi leo nimefarijika sana kumwona waziri mkuu wetu akiwa anawaonya na kuwakemea viongozi ambao wanatumia pesa za walipa kodi kuingia kwenye misafara mingi pale wanapoona kuna kiongozi mkubwa serikalini amekuja kwenye maeneo yanayowazunguka, kwa nchi kama Tanzania imekuwa kama desturi ya viongozi waandamizi wa wilaya na mikioa kuingia kwenye misafara isiyowahusu huku wakiwa wanatumia vibaya pesa za walipa kodi kwenye kujipangia marupurupu ya per day pamoja na mafuta siku akija kiongozi mkubwa serikalini.Kiukweli Mh Pinda kwa nafsi yangu umenifurahisha ulipowaambia wawatembelee watu kwa muda wao bali sio kusubiri upite wewe kama waziri mkuu ndio wakufuate nyuma kwenye msafara wako, kwa hili Pinda nakupa big up sana!!!MUNGU IBARIKI AFRICA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
Huyo hana jipya,ni lini aliwai kusema jambo likatekelezwa?kumbuka muhimu ni utekelezaji siyo kuongea hata sera nyingi (japo si zote) za ccm ukizisoma utaona tunakaribia paradiso lakini hakuna utekelezaji!yapo mengi tu ambayo aliwai kutamka lakini mpaka leo hakuna lililofanyika.
 
Siyo bure anaumwa huyu! Hawa ndiyo ambao walikuwa na ndoto za kuinua maisha binafsi kama wagombea wao wangepita sasa hasira zao ndo wanazionyesha humu. Kaka jitahidi mwenyewe, hakuna popote duniani unakopewa vya bure.
kaka wapi umeona mimi nimetoa maoni ktk mchango wangu kutaraji kufanyiwa au kusaidiwa kitu?soma mchango wangu kwa makini,acha kukurupuka.
 
Tatizo kidogo la mtoto wa mkulima ni kuwa kuwa hafuatilii maagizo yake anatoa maagizo hamna utekelezaji.awe mkali afatlie maagizo yake.
 
Tatizo kidogo la mtoto wa mkulima ni kuwa kuwa hafuatilii maagizo yake anatoa maagizo hamna utekelezaji.awe mkali afatlie maagizo yake.

Endelea kujisahihisha taratibu,utaelewa tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom