Kwa hili la leo Jeshi la Zima moto na Wokozi: toweni elimu juu ya majanga ya asili

Mgeni wa Jiji

JF-Expert Member
Jul 27, 2017
7,909
13,368
Salaam wakuu.

Wengi mtakuwa mmezipata habari za kimbunga kilichozua taharuki mjini Arusha. Binafsi nimekishuhudia na kujifunza mengi hasa juu ya umuhimu wa elimu ya majanga nchini.

Ilikuwa ni mida ya saa tisa kimbunga hichi ana sijui nikiite upepo wa vumbi, kilipovutuga mji mzima wa Arusha. Nilishuhudia watu wakikimbia huku na kule wengine wakijiuliza ni nini hiki huku baadhi wakikaza mwendo kisiwafikie. Ila ghafla kikatapakaa mji mzima (kila nilipopita nilikikuta)

Jambo moja lililonishangaza ni watu kukimbilia kujikinga kwenye miti na majengo/vibanda nikajiuliza hivi haya ni maeneo salama kweli kwao?, mara eneo moja nilipopita kile kimbuka kikaivaa miti wacha kianze vurugu watu huku na huku nusura wagongwe na magari taliyowasha full light kusaidia muono kwenye vumbi lile.

Kwa uelewa wangu sidhani kama kujificha kwenye miti na majengo/vibanda ni sahihi kwa hali hii ya kimbunga kwani inaweza kuvunjwa au kung'olewa na ukapata athari zilizoweza epukika. Pia swala la kupiga picha kiholela kwenye majanga kama haya si zuri.

Nitoe rai kwa jeshi letu la zima moto na wokozi tafadhali toweni elimu ya majanga hasa haya majanga ya asili kwani sasa dunia inakumbana na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa.
 
Salaam wakuu.

Wengi mtakuwa mmezipata habari za kimbunga kilichozua taharuki mjini Arusha. Binafsi nimekishuhudia na kujifunza mengi hasa juu ya umuhimu wa elimu ya majanga nchini.

Ilikuwa ni mida ya saa tisa kimbunga hichi ana sijui nikiite upepo wa vumbi, kilipovutuga mji mzima wa Arusha. Nilishuhudia watu wakikimbia huku na kule wengine wakijiuliza ni nini hiki huku baadhi wakikaza mwendo kisiwafikie. Ila ghafla kikatapakaa mji mzima (kila nilipopita nilikikuta)

Jambo moja lililonishangaza ni watu kukimbilia kujikinga kwenye miti na majengo/vibanda nikajiuliza hivi haya ni maeneo salama kweli kwao?, mara eneo moja nilipopita kile kimbuka kikaivaa miti wacha kianze vurugu watu huku na huku nusura wagongwe na magari taliyowasha full light kusaidia muono kwenye vumbi lile.

Kwa uelewa wangu sidhani kama kujificha kwenye miti na majengo/vibanda ni sahihi kwa hali hii ya kimbunga kwani inaweza kuvunjwa au kung'olewa na ukapata athari zilizoweza epukika. Pia swala la kupiga picha kiholela kwenye majanga kama haya si zuri.

Nitoe rai kwa jeshi letu la zima moto na wokozi tafadhali toweni elimu ya majanga hasa haya majanga ya asili kwani sasa dunia inakumbana na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa.
Mkuu huo upepo wenye vumbi hutokea sana karibu kila mwaka miezi ya kati ya Oktoba na Novemba vumbi linatokana na kuwa maeneo mengi upepo huo unakopita nyasi huwa zimekauka kwa kiangazi na udongo wa maeneo ya Arusha na Kilimanjaro ni mwekundu. Hivyo usishangae sana. Siku za nyuma ulikuwa hautangazwi tu sasa imekuwa ni story. KIA kuna vimbunga vidogo vidogo wakati fulani uliitoa ndege ya Precision kwenye runway wakati inatua.
 
Mkuu huo upepo wenye vumbi hutokea sana karibu kila mwaka miezi ya kati ya Oktoba na Novemba vumbi linatokana na kuwa maeneo mengi upepo huo unakopita nyasi huwa zimekauka kwa kiangazi na udongo wa maeneo ya Arusha na Kilimanjaro ni mwekundu. Hivyo usishangae sana. Siku za nyuma ulikuwa hautangazwi tu sasa imekuwa ni story. KIA kuna vimbunga vidogo vidogo wakati fulani uliitoa ndege ya Precision kwenye runway wakati inatua.

Mkuu nimeishi Arusha more than 20+ years. Kifupi ni kuwa Arusha ni nyumbani, ishu ya jana ni tofauti na sio kimbunga kidogo kama tulivyozowea hii ni ngoma tofauti. Labda hii miaka ya karibuni ambayo sijakaa sana Arusha
 
Salaam wakuu.

Wengi mtakuwa mmezipata habari za kimbunga kilichozua taharuki mjini Arusha. Binafsi nimekishuhudia na kujifunza mengi hasa juu ya umuhimu wa elimu ya majanga nchini.

Ilikuwa ni mida ya saa tisa kimbunga hichi ana sijui nikiite upepo wa vumbi, kilipovutuga mji mzima wa Arusha. Nilishuhudia watu wakikimbia huku na kule wengine wakijiuliza ni nini hiki huku baadhi wakikaza mwendo kisiwafikie. Ila ghafla kikatapakaa mji mzima (kila nilipopita nilikikuta)

Jambo moja lililonishangaza ni watu kukimbilia kujikinga kwenye miti na majengo/vibanda nikajiuliza hivi haya ni maeneo salama kweli kwao?, mara eneo moja nilipopita kile kimbuka kikaivaa miti wacha kianze vurugu watu huku na huku nusura wagongwe na magari taliyowasha full light kusaidia muono kwenye vumbi lile.

Kwa uelewa wangu sidhani kama kujificha kwenye miti na majengo/vibanda ni sahihi kwa hali hii ya kimbunga kwani inaweza kuvunjwa au kung'olewa na ukapata athari zilizoweza epukika. Pia swala la kupiga picha kiholela kwenye majanga kama haya si zuri.

Nitoe rai kwa jeshi letu la zima moto na wokozi tafadhali toweni elimu ya majanga hasa haya majanga ya asili kwani sasa dunia inakumbana na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa.

Tatizo wanaitwa zimamoto kwahiyo yanapokuja majanga mengine wanajisahau na kujiona kama hawahusiki
 
Mleta mada huo ni upepo mkali sio kimbunga.Kimbunga huambatana na mvua inayokimbia kwa spidi za kufa Mtu ikiwa imeambatana na upepo mkali ambao si wa dunia hii kingepita hapo arusha kingeezua nyumba zote za vigae,masifulia ya mama lishe na mbunge godbless lema wangerushwa hewani na kwenda kutupwa manyara.Vihiace vingepinduliwa kichwa chini miguu juu.Ndani ya dakika tano nyumba nyingi arusha zisingekuwa na mapaa.Miti mingi ingeng'olewa na kutupwa mbali.Mji ungekuwa kifusi kwa mafuriko ya maji
 
Mleta mada huo ni upepo mkali sio kimbunga.Kimbunga huambatana na mvua inayokimbia kwa spidi za kufa Mtu ikiwa imeambatana na upepo ambayo si wa dunia hii kingepita hapo arusha kingeezua nyumba zote za vigae,masifulia ya mama lishe na mbunge godbless lema wangerushwa hewani na kwenda kutupwa manyara.Vihiace vingepinduliwa kichwa chini miguu huu.Ndani ya dakika tano nyumba nyingi arusha zisingekuwa na mapaa.Miti mingi ingeng'olewa na kutupwa mbali

Huku kwetu hatujazoea hayo majanga mkuu ndio maana kakivuma ka upepo kidogo tu na vumbi inakua habari nchi nzima. Kingekua ni kimbunga kama vinavyotokea nchi za wenzetu saa izi bendera zingekua zinapepea nusu mlingoti
 
Salaam wakuu.

Wengi mtakuwa mmezipata habari za kimbunga kilichozua taharuki mjini Arusha. Binafsi nimekishuhudia na kujifunza mengi hasa juu ya umuhimu wa elimu ya majanga nchini.

Ilikuwa ni mida ya saa tisa kimbunga hichi ana sijui nikiite upepo wa vumbi, kilipovutuga mji mzima wa Arusha. Nilishuhudia watu wakikimbia huku na kule wengine wakijiuliza ni nini hiki huku baadhi wakikaza mwendo kisiwafikie. Ila ghafla kikatapakaa mji mzima (kila nilipopita nilikikuta)

Jambo moja lililonishangaza ni watu kukimbilia kujikinga kwenye miti na majengo/vibanda nikajiuliza hivi haya ni maeneo salama kweli kwao?, mara eneo moja nilipopita kile kimbuka kikaivaa miti wacha kianze vurugu watu huku na huku nusura wagongwe na magari taliyowasha full light kusaidia muono kwenye vumbi lile.

Kwa uelewa wangu sidhani kama kujificha kwenye miti na majengo/vibanda ni sahihi kwa hali hii ya kimbunga kwani inaweza kuvunjwa au kung'olewa na ukapata athari zilizoweza epukika. Pia swala la kupiga picha kiholela kwenye majanga kama haya si zuri.

Nitoe rai kwa jeshi letu la zima moto na wokozi tafadhali toweni elimu ya majanga hasa haya majanga ya asili kwani sasa dunia inakumbana na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa.


!
!
Achana na hao Zima Moto Sijui....wale wa mamlaka ya hali ya hewa TEMUEI hawakukiona hiki kitu? hahahahaha yaani na wao wanategemea play store kutoa utabiri wa hali ya hewa! yaani hawa jamaa ndio hewa hewa kabisa wanakula mishahara bure. Kimeshatokea ndio watakuja na analysis zao kama wachambuzi wa sioka wa kibongo. hahahahahaha
 
Mleta mada huo ni upepo mkali sio kimbunga.Kimbunga huambatana na mvua inayokimbia kwa spidi za kufa Mtu ikiwa imeambatana na upepo mkali ambao si wa dunia hii kingepita hapo arusha kingeezua nyumba zote za vigae,masifulia ya mama lishe na mbunge godbless lema wangerushwa hewani na kwenda kutupwa manyara.Vihiace vingepinduliwa kichwa chini miguu huu.Ndani ya dakika tano nyumba nyingi arusha zisingekuwa na mapaa.Miti mingi ingeng'olewa na kutupwa mbali.Mji ungekuwa kifusi kwa mafuriko ya maji

Huku vinavunjika vibanda tu mkuu, mvua nayo ilinyesha. Ila tafsiri yako ya kimbunga ni maafa makubwa mkuu
 
Mleta mada huo ni upepo mkali sio kimbunga.Kimbunga huambatana na mvua inayokimbia kwa spidi za kufa Mtu ikiwa imeambatana na upepo mkali ambao si wa dunia hii kingepita hapo arusha kingeezua nyumba zote za vigae,masifulia ya mama lishe na mbunge godbless lema wangerushwa hewani na kwenda kutupwa manyara.Vihiace vingepinduliwa kichwa chini miguu juu.Ndani ya dakika tano nyumba nyingi arusha zisingekuwa na mapaa.Miti mingi ingeng'olewa na kutupwa mbali.Mji ungekuwa kifusi kwa mafuriko ya maji
Hujaona raha hadi umtaje mh Lema
 
Back
Top Bottom