Kwa hili la kudhibiti pesa za TASAF, Rais Magufuli anastahili pongezi

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Feb 26, 2018
2,490
3,534
Habari wana Jf..!

Kuna siku nilikutana na mzee mmoja kikongwe kidogo akanininong'oneza kwamba haelewi mambo yanavyoenda pale mtaani kwake kuhusiana na huu mpunga wa TASAF

Madai ya mzee ni kwamba alikuwa ana kila kigezo cha kupata zile hela za kaya masikini lakini anahisi viongozi wake wa mtaa wanafanya figisu mwisho wa siku wanapigiana pande wao kwa wao. Hivyo mzee akanifuata kuniuliza je kwanini haya mambo yanatokea huku chini wakati Rais kila siku anapiga kelele?

Lakini juzi mheshimiwa Rais kaongea wazi kwamba anazijua hizo janja janja hivyo hilo suala halitomwacha mtu salama, binafsi nimefurahi sana kuona kwamba kumbe taarifa zishafika ngazi ya juu hivyo basi jipu limepata mtumbuaji.

Kwa kweli ilikuwa sio haki kuona vijana wadogo wengine wana uwezo wa kipato wanajipigia mapande wenyewe na kuwaacha wazee wengine wasio na kipato.

Kwa hili naomba tumpongeze Rais wetu anafanya kazi nzuri kwa kweli, sometime we have to be positively sio kila mda tuwe tunamkosoa tu muda mwingine tuwe tunasifia.
 
Kawalazimishe wanao wasifu
Habari wana Jf..!

Kuna siku nilikutana na mzee mmoja kikongwe kidogo akanininong'oneza kwamba haelewi mambo yanavyoenda pale mtaani kwake kuhusiana na huu mpunga wa TASAF

Madai ya mzee ni kwamba alikuwa ana kila kigezo cha kupata zile hela za kaya masikini lakini anahisi viongozi wake wa mtaa wanafanya figisu mwisho wa siku wanapigiana pande wao kwa wao. Hivyo mzee akanifuata kuniuliza je kwanini haya mambo yanatokea huku chini wakati Rais kila siku anapiga kelele?

Lakini juzi mheshimiwa Rais kaongea wazi kwamba anazijua hizo janja janja hivyo hilo suala halitomwacha mtu salama, binafsi nimefurahi sana kuona kwamba kumbe taarifa zishafika ngazi ya juu hivyo basi jipu limepata mtumbuaji.

Kwa kweli ilikuwa sio haki kuona vijana wadogo wengine wana uwezo wa kipato wanajipigia mapande wenyewe na kuwaacha wazee wengine wasio na kipato.

Kwa hili naomba tumpongeze Rais wetu anafanya kazi nzuri kwa kweli, sometime we have to be positively sio kila mda tuwe tunamkosoa tu muda mwingine tuwe tunasifia.

In God we Trust
 
Mambo mengi hapa nchi planning na doing/action/execution ya mipango mikakati havifanani...
Tujipe muda, ndiyo tutoe pongezi.....


Everyday is Saturday.....................:cool:
 
Miaka minne sasa ndio hilo la upigaji linaonekana? Tena tunaigizwa eti anamwambia kijana kama kachukua hela arudishe? Yeye anajua kila kinachoendelea na anapata ripoti? Kumuuliza mbele ya Camera ni maigizo tu.
 
Miaka minne sasa ndio hilo la upigaji linaonekana? Tena tunaigizwa eti anamwambia kijana kama kachukua hela arudishe? Yeye anajua kila kinachoendelea na anapata ripoti? Kumuuliza mbele ya Camera ni maigizo tu.
Kila mwaka watu wanafanya review .
 
Mradi wa TASAFA phase iliyowqsaidia wananchi ni ile iliyokuwa ya kutekeleza miradi sawa na mapendekezo ya wananchi hao kulingana na vipaumbele vyao ambavyo kimsingi vilikuwa ni vichocheo vya maendeleo kwao mfano ufunguzi wa barabara, ujenzi wa shule, zahanati lkn baadae ilikuja phase ya kuwawezesha wananchi kwa kuwaanzishia miradi kama ufugani kuku, mbuzi wa maziwa, ng'ombe wa maziwa etc.... hii phase na ile iliyoisha mwaka jana hizi ni za kitapeli... mwananchi hawezi nufaika kwa kumpa 20,000/= ambayo wengine inaishia hapo hapo kwenye pombe.

Tuwape wananchi ndooano ya kuvulia samaki, na sio tuwape samaki ambao kimsingi hatutaweza kuwapa kila siku za maisha yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mradi wa TASAFA phase iliyowqsaidia wananchi ni ile iliyokuwa ya kutekeleza miradi sawa na mapendekezo ya wananchi hao kulingana na vipaumbele vyao ambavyo kimsingi vilikuwa ni vichocheo vya maendeleo kwao mfano ufunguzi wa barabara, ujenzi wa shule, zahanati lkn baadae ilikuja phase ya kuwawezesha wananchi kwa kuwaanzishia miradi kama ufugani kuku, mbuzi wa maziwa, ng'ombe wa maziwa etc.... hii phase na ile iliyoisha mwaka jana hizi ni za kitapeli... mwananchi hawezi nufaika kwa kumpa 20,000/= ambayo wengine inaishia hapo hapo kwenye pombe.

Tuwape wananchi ndooano ya kuvulia samaki, na sio tuwape samaki ambao kimsingi hatutaweza kuwapa kila siku za maisha yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo miradi yote ya maendeleo for now ipo chini ya serikali na serikali imefanikiwa kuitekeleza kwa asilimia kubwa ndani ya mda mfupi.

Hauwezi sema eti umlazimishe mtu afuge ng'ombe mara kenge huo ni ukichaa ati..!!Kufuga na biashara ni kipaji watu hawafugi fugi tu wala kulima .Miradi mingi ya kama hiyo haikufanikiwa sana kutokana na sababu nyingi.

Mpe mtu pesa yy ataamua cha kufanya,let say leo ww umafanya kazi harafu boss akwambie mwezi huu mshahara wako nitakulipa viroba vya unga viwili badala ya pesa yako yenye thamani sawa na viroba viwili vya unga,ninavyokuona wewe utakubali.???:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:.
 
Uzi umedooda
Habari wana Jf..!

Kuna siku nilikutana na mzee mmoja kikongwe kidogo akanininong'oneza kwamba haelewi mambo yanavyoenda pale mtaani kwake kuhusiana na huu mpunga wa TASAF

Madai ya mzee ni kwamba alikuwa ana kila kigezo cha kupata zile hela za kaya masikini lakini anahisi viongozi wake wa mtaa wanafanya figisu mwisho wa siku wanapigiana pande wao kwa wao. Hivyo mzee akanifuata kuniuliza je kwanini haya mambo yanatokea huku chini wakati Rais kila siku anapiga kelele?

Lakini juzi mheshimiwa Rais kaongea wazi kwamba anazijua hizo janja janja hivyo hilo suala halitomwacha mtu salama, binafsi nimefurahi sana kuona kwamba kumbe taarifa zishafika ngazi ya juu hivyo basi jipu limepata mtumbuaji.

Kwa kweli ilikuwa sio haki kuona vijana wadogo wengine wana uwezo wa kipato wanajipigia mapande wenyewe na kuwaacha wazee wengine wasio na kipato.

Kwa hili naomba tumpongeze Rais wetu anafanya kazi nzuri kwa kweli, sometime we have to be positively sio kila mda tuwe tunamkosoa tu muda mwingine tuwe tunasifia.

In God we Trust
 
Habari wana Jf..!

Kuna siku nilikutana na mzee mmoja kikongwe kidogo akanininong'oneza kwamba haelewi mambo yanavyoenda pale mtaani kwake kuhusiana na huu mpunga wa TASAF

Madai ya mzee ni kwamba alikuwa ana kila kigezo cha kupata zile hela za kaya masikini lakini anahisi viongozi wake wa mtaa wanafanya figisu mwisho wa siku wanapigiana pande wao kwa wao. Hivyo mzee akanifuata kuniuliza je kwanini haya mambo yanatokea huku chini wakati Rais kila siku anapiga kelele?

Lakini juzi mheshimiwa Rais kaongea wazi kwamba anazijua hizo janja janja hivyo hilo suala halitomwacha mtu salama, binafsi nimefurahi sana kuona kwamba kumbe taarifa zishafika ngazi ya juu hivyo basi jipu limepata mtumbuaji.

Kwa kweli ilikuwa sio haki kuona vijana wadogo wengine wana uwezo wa kipato wanajipigia mapande wenyewe na kuwaacha wazee wengine wasio na kipato.

Kwa hili naomba tumpongeze Rais wetu anafanya kazi nzuri kwa kweli, sometime we have to be positively sio kila mda tuwe tunamkosoa tu muda mwingine tuwe tunasifia.
Inaonyesha wewe ni mgeni sana kwenye siasa za bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mradi ni bonge la idea ... hata ulaya wanatoa pesa kwa watu wao hasa ambao hawana kazi... Hongera Mkapa. Ahsante JK, JPM kuuenzi
 
Kiongozi Makini hupambana kuondoa umasikini , badala ya kuleta porojo za kujifanya analinda hela za kupunguza umasikini aliouleta
 
Back
Top Bottom