Afrikasana
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 320
- 283
Sina nia ya kupuuza juhudi za Mh. Samia Suluhu amiri jeshi mkuu. Ila ameonekana kucheka na wazembe.
Kwa namna ninavyoona mwenendo wa Mh. Hussein Mwinyi kule Zanzibar,ninauhakika angekua na mamlaka juu ya HESLB angeshatengua uteuzi. Na angevunja menejimenti yote ya HESLB
Tena hao wachunguzwe kwa uzembe na rushwa
HESLB wamegoma kuwapa baadhi ya wanavyuo fedha zao za kujikimu kwa zaidi ya miezi miwili sasa. Hata za mwaka wa kwanza wamegoma kuwaingizia pia.
Kwanini mtu anapangiwa mkopo na hapewi kwa zaidi ya miezi miwili? Hii sio haki
Mh. Rais chukua kalamu fanya maamuzi wapo watanzania wengi sana wenye sifa za kuchukua hizo nafasi na kuiendesha bodi kwa umakini. Usiwaonee muhali
Kwa namna ninavyoona mwenendo wa Mh. Hussein Mwinyi kule Zanzibar,ninauhakika angekua na mamlaka juu ya HESLB angeshatengua uteuzi. Na angevunja menejimenti yote ya HESLB
Tena hao wachunguzwe kwa uzembe na rushwa
HESLB wamegoma kuwapa baadhi ya wanavyuo fedha zao za kujikimu kwa zaidi ya miezi miwili sasa. Hata za mwaka wa kwanza wamegoma kuwaingizia pia.
Kwanini mtu anapangiwa mkopo na hapewi kwa zaidi ya miezi miwili? Hii sio haki
Mh. Rais chukua kalamu fanya maamuzi wapo watanzania wengi sana wenye sifa za kuchukua hizo nafasi na kuiendesha bodi kwa umakini. Usiwaonee muhali