ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Nikikumbuka Rais alipoongea katika moja ya ziara zake mwezi uliopita nakumbuka aliongea. "jamani haya Machajo sio ya kuyaamini amini. Machanjo ya kuletewa haraka haraka kipindi hiki sio mazuri..
Hakuishia hapo akawaonya na kuwatahadharisha Wizara ya Afya wawe makini
Leo hii asubuhi nimesikia chombo kimoja kikubwa cha habari duniani kiliripoti idadi ya nchi kuikataa chanjo ya COVID-19 ikiongezeka, nchi zaidi Duniani zinaendelea kuzuia au kusimamisha matumizi ya chanjo hizo baada ya kuonesha madhara kwa baadhi ya watu walioanza kuzitumia na hata baadhi ya sehemu kusababisha vifo.
Hili limenifanya nistuke na kufikiri haraka kuwa rais wetu John Pombe Magufuli alipata neema na maono ya hili mapema sana
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu tulinde watanzania dhidi ya janga hili tuvuke salama.
Hakuishia hapo akawaonya na kuwatahadharisha Wizara ya Afya wawe makini
Leo hii asubuhi nimesikia chombo kimoja kikubwa cha habari duniani kiliripoti idadi ya nchi kuikataa chanjo ya COVID-19 ikiongezeka, nchi zaidi Duniani zinaendelea kuzuia au kusimamisha matumizi ya chanjo hizo baada ya kuonesha madhara kwa baadhi ya watu walioanza kuzitumia na hata baadhi ya sehemu kusababisha vifo.
Hili limenifanya nistuke na kufikiri haraka kuwa rais wetu John Pombe Magufuli alipata neema na maono ya hili mapema sana
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu tulinde watanzania dhidi ya janga hili tuvuke salama.