NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Habari wadau, nimesikia katika kipindi cha tuongee magazeti cha RFA kuwa CHADEMA imeuvunja uongozi wa majimbo ya mkoa wa Dodoma kwa kile kinachodaiwa kushindwa katika uchaguzi mkuu.
Niueleze tu kwa uongozi wa Dodoma mjini aliyepaswa kuondoka hapo labda Massawe lakini watu kama Fred na Ishengoma, mama Mbahuka nk ni kikosi kazi cha CHADEMA Dodoma mjini hao jamaa wanaipaisha CHADEMA Dodoma kwa nguvu zao, mlichopaswa kufanya ni kuwawezesha tu waweze kutenda zaidi.
Niueleze tu kwa uongozi wa Dodoma mjini aliyepaswa kuondoka hapo labda Massawe lakini watu kama Fred na Ishengoma, mama Mbahuka nk ni kikosi kazi cha CHADEMA Dodoma mjini hao jamaa wanaipaisha CHADEMA Dodoma kwa nguvu zao, mlichopaswa kufanya ni kuwawezesha tu waweze kutenda zaidi.