Ayaaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀Kama anafutika kweli japo tujipe muda zaidi
View attachment 1512750
Duh Noma sana
Necta hawatumii font hzo mjomba.hyo ni chapisho ya kutengenezwa
Hadi Kisw F lol khaaaaah
Jamaa alikuwa anasoma mosomo yote
Kwanza yuko wapi sasa hivi tuanzie hapo,makazi yake ni wapi? Walinzi je?Kama anafutika kweli japo tujipe muda zaidi
View attachment 1512750
Kuna jirani yangu alimuagiza mwanae kitu ndani,nazani mwanae hakusikia vzr or hakuelewa. Jamaa akamind sana ukizingatia alikuwa kasha stua kidogo Faru John, akamtukana mwanae " Bashite mkubwa wewee" mke wa jamaaa alisikitika sana akesama " Baba....sio vzr kumuita mtoto majina ya hovyo hovyo una muathiri kisaikolojia" SASA NDO NAANZA KUELEWA VIZURI SOMOJamani miswaki yoooote. Ila hata hivyo katoboa life,hadi kafanikiwa mkewe kazaa kwa kupandikizwa.
Katoboa kwa mgongo wa damu za watu. Nilikuwa najiuliza sana hivi Mungu wetu bado yupo huko mawinguni au kashajifia kwa uzee,maana asingeruhusu Warioba azabwe vibao na maisha yaendelee as usual,achilia mbali familia ya Ben Saanane na LissuJamani miswaki yoooote. Ila hata hivyo katoboa life,hadi kafanikiwa mkewe kazaa kwa kupandikizwa.
Kuhusu mimba ya pili itakuwaje?Jamani miswaki yoooote. Ila hata hivyo katoboa life,hadi kafanikiwa mkewe kazaa kwa kupandikizwa.
Mwendo ule ule. Nasikia safari hii kapandikiza mapacha kabisa. Mke anatarijiwa kujifungua soon.Kuhusu mimba ya pili itakuwaje?
Najua wengi watanipinga ila iko siku bashite atakuwa rais wa nchi hii.Duu huyu jamaa nawiwa kumpenda baada ya wingi wa wanaomchukia kuwa mkubwa!
Weee dada una mafaili ya watu balaa duh mara babutale kafanyaje 😁😁😁😂Jamani miswaki yoooote. Ila hata hivyo katoboa life,hadi kafanikiwa mkewe kazaa kwa kupandikizwa.
Mbegu za huyu huyu cha zero?Mwendo ule ule. Nasikia safari hii kapandikiza mapacha kabisa. Mke anatarijiwa kujifungua soon.