nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Kosa la NEC la kuchelewesha matokeo ya uchaguzi katika majimbo mbali mbali nchini lilisababisha watanzania kupandwa na jazba na kuleta fujo katika maeneo ya kutangazia matokeo katika majimbo mbalimbali yakiwemo Nyamagana(Mwanza),Arusha Mjini(Arusha) na Ubungo(DSM).
Mpaka leo NEC hawajatoa maelezo sahihi kwa nini matokeo yalichelewa kutoka katika majimbo hayo yaliyoko mjini.Tunataka maelezo au mtu mwenye kujua sababu azilete hapa
Mpaka leo NEC hawajatoa maelezo sahihi kwa nini matokeo yalichelewa kutoka katika majimbo hayo yaliyoko mjini.Tunataka maelezo au mtu mwenye kujua sababu azilete hapa