babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
Bibi Mawazia Kibwana , mkazi wa Kitongoji cha Kinyenze, Kijiji cha Kipera, Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Mvomero, akitoa malalamiko kuhusu kubomolewa choo chake na kuwekwa kwa uzio wa seng'enge na kampuni ya Tanbreed Poultry Limited inayomilikiwa Raia wa kigeni aliyeuziwa eneo kubwa la ardhi na kumega sehemu ya mashamba yao wenye mazao ndani yake na kuziba njia yakwenda mtaa wa Mwanga kama walivyokutwa juzi Kijijiji hapo.
Moja ya nyumba ambazo uzio umepita na kuziba vyoo vyao.
Wananchi wakitahamaki na kutokuamini wanachokiona.
Wananchi wakipita jirani na Jumba ambalo awali watoto walikuwa wakilitumia kama darasa la chekechea ambalo sasa linamilikiwa na mzungu huyo.
1. Kikwete naomba nikuulize, ni kitu gani watanzania wamekukosea?, mpaka umeamua kuwauza katika nchi yao wenyewe?
2. Hivi ni kweli kuwa watanzania wameshindwa kufuga hata kuku mpaka waje wawekezaji kutoka nje?.
3. Hivi wewe ni mtanzania kweli, au unauraia wa nchi nyingine?
Source: Wananchi wa mchachamalia Mzungu aliyeziba njia na kuchukua mashamba Kinyenze, mkoani Morogoro ~ Father Kidevu
Moja ya nyumba ambazo uzio umepita na kuziba vyoo vyao.
Wananchi wakitahamaki na kutokuamini wanachokiona.
Wananchi wakipita jirani na Jumba ambalo awali watoto walikuwa wakilitumia kama darasa la chekechea ambalo sasa linamilikiwa na mzungu huyo.
1. Kikwete naomba nikuulize, ni kitu gani watanzania wamekukosea?, mpaka umeamua kuwauza katika nchi yao wenyewe?
2. Hivi ni kweli kuwa watanzania wameshindwa kufuga hata kuku mpaka waje wawekezaji kutoka nje?.
3. Hivi wewe ni mtanzania kweli, au unauraia wa nchi nyingine?
Source: Wananchi wa mchachamalia Mzungu aliyeziba njia na kuchukua mashamba Kinyenze, mkoani Morogoro ~ Father Kidevu