Kwa Hili Isidori Shirima Tunakushukuru

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Ikiwa ndio anamalizia muda wake wa ukuu wa mkoa Arusha na kwenda mapunzikoni, wakazi wa jiji la Arusha tunakupongeza sana bwana Isidori kwakuliona hili tatizo la kusimamisha lile zoezi la watoza ushuru wa wrong parking kwa waendesha magari hapa jijini Arusha. Ilikua ni kero kubwa sana kwetu sisi waendesha magari, kwanza hii kazi ingetakiwa iwe ya Traffic na sio wao, yaani unawakuta hawa jamaa wanatembea na lichuma fulani hivi na kuwawekea wenye magari na kudai ushuru wa shilingi elfu 40000 kisa umepaki vibaya na hapo ulipopaki hakuna alama inayoonyesha kua sio halali kupaki hapo, ukiwauliza wapi kibao kinachoonyesha kua umepaki vibaya hawakuelewi na muda huo tayari wameshakuwekea hilo chuma. kweli ilishafikia wakati unaendesha gari lako mwenyewe lakini huna uhuru nalo ilkua ni kero mbaya sana. Asante sana bwana Shirima japokua ulichelewa kusimamisha hili zoezi na tumeshaliwa hela nyingi lakini Mungu akubariki huko unapokwenda kumalizia uzee wako. Naunga mkono hoja.
 
Nashukuru similiki bastola vinginevyo siku ningekuta gari yangu imepindwa nyororo ningesambaratisha mafuruli yao kwa risasi! Kiukweli unaudhi sana mtu umepark kisha unarudi unakuta kundi la watu wanakusubiri kwa hamu kubwa ili uwahongea wakanywe bia na kutongozea fedha zetu, pumbavu zao sana watoza ushuru wenye mtindo huu.
Kuna siku nilishuhudia malumbano makali baina ya mama mmoja na mtoza ushuru, kisa kapark ClockTower NMB bank kurudi kisha pigwa mnyororo, halafu kuna mawili

  1. Wanawaonea sana akina mama
  2. Minyororo yao kwa Arusha haina makufuli ishara ya kuwa ni watu wa kutest zali ukizubaa imekula kwako.
Duuuh kumbe kitufe cha abuse kipo ngoja nikomee hapa maana naweza kuisogelea ban kwa jazba niliyonayo juu ya watu hawa.
 
Kuna muwekezaji mmoja mzungu yeye alishawahi wekewa chuma chenye kufuli, hakutaka kuongea mara mbili alikwenda zake kwenye duka la vifaa vya ujenzi akarudi na mkasi wakukatia chuma na akiwa ameambatana na walinzi wake waKisonjo wamebeba mishale yenye sumu, hatujakaa vizuri mzungu akakata lile chuma lenye kufuli halafu akaondoka nalo na wale wasonjo walishakua tayari wamenyooshea ile mishale kwa wale watoza ushuru! Aisee palikua hapatoshi.
 
Kuna muwekezaji mmoja mzungu yeye alishawahi wekewa chuma chenye kufuli, hakutaka kuongea mara mbili alikwenda zake kwenye duka la vifaa vya ujenzi akarudi na mkasi wakukatia chuma na akiwa ameambatana na walinzi wake waKisonjo wamebeba mishale yenye sumu, hatujakaa vizuri mzungu akakata lile chuma lenye kufuli halafu akaondoka nalo na wale wasonjo walishakua tayari wamenyooshea ile mishale kwa wale watoza ushuru! Aisee palikua hapatoshi.

Hii ilikuwa nzuri haswa...
 
Kuna muwekezaji mmoja mzungu yeye alishawahi wekewa chuma chenye kufuli, hakutaka kuongea mara mbili alikwenda zake kwenye duka la vifaa vya ujenzi akarudi na mkasi wakukatia chuma na akiwa ameambatana na walinzi wake waKisonjo wamebeba mishale yenye sumu, hatujakaa vizuri mzungu akakata lile chuma lenye kufuli halafu akaondoka nalo na wale wasonjo walishakua tayari wamenyooshea ile mishale kwa wale watoza ushuru! Aisee palikua hapatoshi.
<br />
<br />
i saw that thng mitaa ya metro...
 
Kuna muwekezaji mmoja mzungu yeye alishawahi wekewa chuma chenye kufuli, hakutaka kuongea mara mbili alikwenda zake kwenye duka la vifaa vya ujenzi akarudi na mkasi wakukatia chuma na akiwa ameambatana na walinzi wake waKisonjo wamebeba mishale yenye sumu, hatujakaa vizuri mzungu akakata lile chuma lenye kufuli halafu akaondoka nalo na wale wasonjo walishakua tayari wamenyooshea ile mishale kwa wale watoza ushuru! Aisee palikua hapatoshi.
Kiukweli waudhi sana,
 
Back
Top Bottom