MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Kituo cha haki za binadam kupitia kiongozi wake mwanaharakati ndg fransis kiwango amekubali kusitisha maandamano ya kupinga malipo ya dowans kwa sababu moja tu miongoni mwa sababu kadhaa zilizo tolewa Kova.
Sababu hiyo ni kuwa na tetesi za tishio la kuwepo kwa kundi la kigaidi la alshabab. hivyo akawaomba wote waliojiandaa kuandamana leo, atawatangazia maandamano pale hali ya usalama itakapo rejea nchini. Hoja ni kwamva, ni lini kova atatangaza kuwa hal ya nchi ni salama?
Je malipo ya DOWANS yatasitishwa?
Sababu hiyo ni kuwa na tetesi za tishio la kuwepo kwa kundi la kigaidi la alshabab. hivyo akawaomba wote waliojiandaa kuandamana leo, atawatangazia maandamano pale hali ya usalama itakapo rejea nchini. Hoja ni kwamva, ni lini kova atatangaza kuwa hal ya nchi ni salama?
Je malipo ya DOWANS yatasitishwa?