Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Wakati wa uchaguzi wa mwaka 2000, vurugu zilizokuwepo Z'bar na baadhi ya maeneo T'bara mpaka zikapelekea maandamano kule Z'bar yaliyopoteza maisha ya watu zilionesha chama cha CUF kitaleta ukombozi!
Lakini baada ya muafaka na CCM pamoja na kupewa nafasi katika uongozi,viongozi wa CUF hawaikosoi tena serikali,kwanini?Hakuna maendeleo yoyote yaliyofanywa,maisha yamekuwa hovyo zaidi,uko wapi uchungu wa CUF?
Au wamepata walichokuwa wanahitaji?
Lakini baada ya muafaka na CCM pamoja na kupewa nafasi katika uongozi,viongozi wa CUF hawaikosoi tena serikali,kwanini?Hakuna maendeleo yoyote yaliyofanywa,maisha yamekuwa hovyo zaidi,uko wapi uchungu wa CUF?
Au wamepata walichokuwa wanahitaji?