msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,136
Nimefuatilia mdahalo wa Star TV kati ya Heche na Nape, Chadema wanatisha. Hivi vifaa mlivyonavyo hakuna tofauti na akina Lionel Messi.
Huyu Bw Hache ameongea hoja iliyonifurahisha sana, kwamb CDM wana "Chadema Student Organisation" (CHASO), kuhakikisha kuwa hata kwenye ngazi ya udiwani wanaingia wasomi.
Nape nae kaongea lakini mengi ilikuwa kuwatetea mafisadi na magamba yao. It was a funny debate.
Huyu Bw Hache ameongea hoja iliyonifurahisha sana, kwamb CDM wana "Chadema Student Organisation" (CHASO), kuhakikisha kuwa hata kwenye ngazi ya udiwani wanaingia wasomi.
Nape nae kaongea lakini mengi ilikuwa kuwatetea mafisadi na magamba yao. It was a funny debate.