Kahema
JF-Expert Member
- May 21, 2010
- 202
- 43
Kufuatia kauli aliyoitoa dr slaa kua hawatakubaliana na matokeo ya uraisi na ubunge kwa kile anachokidai kua kuna wizi wa waziwazi umefanyika. nategemea yafuatayo yafanyike kama kweli anataka sisi tuliompigia kura tujue kweli chadema ipo kwa ajiri ya watu na sio mtu binafsi.1; wabunge waliochaguliwa kupititia chama hicho wasikubali kuingia bungeni kwa kua zoezi zima halikua huru na haki. la sivyo tutajua kua kila mtu alikua anatafuta kula na sio kura,
2.kama alivyojibu jaji makame kua hajapata malalamiko yoyote toka kwa chadema tafadhali wafanye haraka kulifisha hilo wakiwa na vielelezo vya kutosha.
3. jammii za kimataifa zijulishwe upesi kilichotokea kwa vielelezo maana tayari wameshasema uchaguzi ulikua huru na haki.
4. wajitoe kwa hari na mali kupigania haki yao hiyo mpaka tone la mwisho la damu.
2.kama alivyojibu jaji makame kua hajapata malalamiko yoyote toka kwa chadema tafadhali wafanye haraka kulifisha hilo wakiwa na vielelezo vya kutosha.
3. jammii za kimataifa zijulishwe upesi kilichotokea kwa vielelezo maana tayari wameshasema uchaguzi ulikua huru na haki.
4. wajitoe kwa hari na mali kupigania haki yao hiyo mpaka tone la mwisho la damu.