tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,114
Kwanza nawapa pole kwa wote wenye kuwa na elimu ya uraia na uzalendo kwa nchi yaopili tunapaswa kuwashukuru ccm na serikali yao kwa kufauru kwa haya yafuatayo:
Wamefauru kuwanyima elimu ya kawaida na ya kiraia wananchi kiasi kwamba hawajui NCHI hii ni yao kama duka lako usivyoweza ruhusu mshenzi yeyote akaja kuchukua chochote!! hivi ungetegemea kwa wenye akili za kupambanua mambo ungetemea wanachi kuendelea kuichagua CCM IGUNGA huku serikali ikiwapa wezi bns 111 na ndicho kilicho sababisha na viningine vingi?
DOWANS inapewa mkwanja huku umeme hatuma bado watu wanashabikia ! Duu unapokuwa shabiki wa CCM unatakiwa uwe chizi fresh ili haya uwe uyaoni!!! Hivi ungetegemea kafumu aliyezidiwa na walevi kuongeza pato la Taifa apite? hivi ungetegemea serikali iliyotoka kuua watu kwenye meli bado mnaibarik kwa kura ndani ya mwezi huo huo?
Yapo mengi sana ya kuyalaani, hebu ongezea mwana JF ili nisikuchoshe kuyasomaila usisahau unapokuwa mwana CCM ni mwizi au mbumbumbu na chizi fresh ili usione haya!!! Nawasilisha
Wamefauru kuwanyima elimu ya kawaida na ya kiraia wananchi kiasi kwamba hawajui NCHI hii ni yao kama duka lako usivyoweza ruhusu mshenzi yeyote akaja kuchukua chochote!! hivi ungetegemea kwa wenye akili za kupambanua mambo ungetemea wanachi kuendelea kuichagua CCM IGUNGA huku serikali ikiwapa wezi bns 111 na ndicho kilicho sababisha na viningine vingi?
DOWANS inapewa mkwanja huku umeme hatuma bado watu wanashabikia ! Duu unapokuwa shabiki wa CCM unatakiwa uwe chizi fresh ili haya uwe uyaoni!!! Hivi ungetegemea kafumu aliyezidiwa na walevi kuongeza pato la Taifa apite? hivi ungetegemea serikali iliyotoka kuua watu kwenye meli bado mnaibarik kwa kura ndani ya mwezi huo huo?
Yapo mengi sana ya kuyalaani, hebu ongezea mwana JF ili nisikuchoshe kuyasomaila usisahau unapokuwa mwana CCM ni mwizi au mbumbumbu na chizi fresh ili usione haya!!! Nawasilisha