Kwa hili CCM na serikali yake mnasitahili pongezi kubwa

tikatika

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,330
4,114
Kwanza nawapa pole kwa wote wenye kuwa na elimu ya uraia na uzalendo kwa nchi yaopili tunapaswa kuwashukuru ccm na serikali yao kwa kufauru kwa haya yafuatayo:

Wamefauru kuwanyima elimu ya kawaida na ya kiraia wananchi kiasi kwamba hawajui NCHI hii ni yao kama duka lako usivyoweza ruhusu mshenzi yeyote akaja kuchukua chochote!! hivi ungetegemea kwa wenye akili za kupambanua mambo ungetemea wanachi kuendelea kuichagua CCM IGUNGA huku serikali ikiwapa wezi bns 111 na ndicho kilicho sababisha na viningine vingi?

DOWANS inapewa mkwanja huku umeme hatuma bado watu wanashabikia ! Duu unapokuwa shabiki wa CCM unatakiwa uwe chizi fresh ili haya uwe uyaoni!!! Hivi ungetegemea kafumu aliyezidiwa na walevi kuongeza pato la Taifa apite? hivi ungetegemea serikali iliyotoka kuua watu kwenye meli bado mnaibarik kwa kura ndani ya mwezi huo huo?

Yapo mengi sana ya kuyalaani, hebu ongezea mwana JF ili nisikuchoshe kuyasomaila usisahau unapokuwa mwana CCM ni mwizi au mbumbumbu na chizi fresh ili usione haya!!! Nawasilisha
 
Ccm walishinda Igunga kwa hila na si ridhaa ya wananchi,kama huamini subiri 2015 uone Igunga kama itabaki ccm.
 
Duh haya mkuu mie sina la kuongeza pongezi zako nimezikubali nakuunga mkono
 
Kwanza nawapa pole kwa wote wenye kuwa na elimu ya uraia na uzalendo kwa nchi yaopili tunapaswa kuwashukuru ccm na serikali yao kwa kufauru kwa haya yafuatayo:

Wamefauru kuwanyima elimu ya kawaida na ya kiraia wananchi kiasi kwamba hawajui NCHI hii ni yao kama duka lako usivyoweza ruhusu mshenzi yeyote akaja kuchukua chochote!! hivi ungetegemea kwa wenye akili za kupambanua mambo ungetemea wanachi kuendelea kuichagua CCM IGUNGA huku serikali ikiwapa wezi bns 111 na ndicho kilicho sababisha na viningine vingi?

DOWANS inapewa mkwanja huku umeme hatuma bado watu wanashabikia ! Duu unapokuwa shabiki wa CCM unatakiwa uwe chizi fresh ili haya uwe uyaoni!!! Hivi ungetegemea kafumu aliyezidiwa na walevi kuongeza pato la Taifa apite? hivi ungetegemea serikali iliyotoka kuua watu kwenye meli bado mnaibarik kwa kura ndani ya mwezi huo huo?

Yapo mengi sana ya kuyalaani, hebu ongezea mwana JF ili nisikuchoshe kuyasomaila usisahau unapokuwa mwana CCM ni mwizi au mbumbumbu na chizi fresh ili usione haya!!! Nawasilisha
Hayo ni madogo ukifananisha na ukabila na udini uliopo CDM.
 
Ccm walishinda Igunga kwa hila na si ridhaa ya wananchi,kama huamini subiri 2015 uone Igunga kama itabaki ccm.

Hapa ndio CHADEMA mnapochemsha na kwa mtaji huu mtakuwa watu wa kulalamika tu kila uchaguzi unapotokea. Hivi hamkujua mapema kuwa CCM wana hila na hawatasita kuzitumia ili washinde kwenye uchaguzi? Kama hamkujua basi bado mnahitaji kujifunza siasa za Tanzania kwani hata hiyo 2015 bado CCM watatumia hizo mnazoziita hila tena kwa nguvu zaidi, ari zaidi na kasi zaidi. Kama mlijua mlichukua hatua gani?
 
Kwanza nawapa pole kwa wote wenye kuwa na elimu ya uraia na uzalendo kwa nchi yaopili tunapaswa kuwashukuru ccm na serikali yao kwa kufauru kwa haya yafuatayo:

Wamefauru kuwanyima elimu ya kawaida na ya kiraia wananchi kiasi kwamba hawajui NCHI hii ni yao kama duka lako usivyoweza ruhusu mshenzi yeyote akaja kuchukua chochote!! hivi ungetegemea kwa wenye akili za kupambanua mambo ungetemea wanachi kuendelea kuichagua CCM IGUNGA huku serikali ikiwapa wezi bns 111 na ndicho kilicho sababisha na viningine vingi?

DOWANS inapewa mkwanja huku umeme hatuma bado watu wanashabikia ! Duu unapokuwa shabiki wa CCM unatakiwa uwe chizi fresh ili haya uwe uyaoni!!! Hivi ungetegemea kafumu aliyezidiwa na walevi kuongeza pato la Taifa apite? hivi ungetegemea serikali iliyotoka kuua watu kwenye meli bado mnaibarik kwa kura ndani ya mwezi huo huo?

Yapo mengi sana ya kuyalaani, hebu ongezea mwana JF ili nisikuchoshe kuyasomaila usisahau unapokuwa mwana CCM ni mwizi au mbumbumbu na chizi fresh ili usione haya!!! Nawasilisha

Kufauru ndio nini?
 
Hayo ni madogo ukifananisha na ukabila na udini uliopo CDM.
Afhadhali umewaambia, jana nimepost topic humu kuhusu majibu ya Mh. Mbowe Cannel ten tayari nimeshstumiwa message ya private kunionya. Natambua kuwa sina kosa katika hilo bali iliwagusa sana, by the way JF is a social network otherwise iondoe
 
Maelezo yako japo yana chembe chembe za ukakasi lakini na ukweli nao umo mle; KATIBA MPYA haraka.

Hapa ndio CHADEMA mnapochemsha na kwa mtaji huu mtakuwa watu wa kulalamika tu kila uchaguzi unapotokea. Hivi hamkujua mapema kuwa CCM wana hila na hawatasita kuzitumia ili washinde kwenye uchaguzi? Kama hamkujua basi bado mnahitaji kujifunza siasa za Tanzania kwani hata hiyo 2015 bado CCM watatumia hizo mnazoziita hila tena kwa nguvu zaidi, ari zaidi na kasi zaidi. Kama mlijua mlichukua hatua gani?
 
Siyo hila ila ni umbumbumbu wa wananchi sababu ya kukosa elimu.
Kama ni kwa hila wangeandamana. Kwani wewe hukuona kwenye tiivii wakisherehekea!
Kukosa elimu ni umasikini mkubwa sana!
Ccm walishinda Igunga kwa hila na si ridhaa ya wananchi,kama huamini subiri 2015 uone Igunga kama itabaki ccm.
 
Kwanza nawapa pole kwa wote wenye kuwa na elimu ya uraia na uzalendo kwa nchi yaopili tunapaswa kuwashukuru ccm na serikali yao kwa kufauru kwa haya yafuatayo:

Wamefauru kuwanyima elimu ya kawaida na ya kiraia wananchi kiasi kwamba hawajui NCHI hii ni yao kama duka lako usivyoweza ruhusu mshenzi yeyote akaja kuchukua chochote!! hivi ungetegemea kwa wenye akili za kupambanua mambo ungetemea wanachi kuendelea kuichagua CCM IGUNGA huku serikali ikiwapa wezi bns 111 na ndicho kilicho sababisha na viningine vingi?

DOWANS inapewa mkwanja huku umeme hatuma bado watu wanashabikia ! Duu unapokuwa shabiki wa CCM unatakiwa uwe chizi fresh ili haya uwe uyaoni!!! Hivi ungetegemea kafumu aliyezidiwa na walevi kuongeza pato la Taifa apite? hivi ungetegemea serikali iliyotoka kuua watu kwenye meli bado mnaibarik kwa kura ndani ya mwezi huo huo?

Yapo mengi sana ya kuyalaani, hebu ongezea mwana JF ili nisikuchoshe kuyasomaila usisahau unapokuwa mwana CCM ni mwizi au mbumbumbu na chizi fresh ili usione haya!!! Nawasilisha

Asante sana kwa mawazo yako mwanana,Kweli wa tz tunafanya makosa makubwa sana kumpa nchi mkoloni ccm.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom