joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,132
- 31,708
Kwa hiyo bei ya mafuta wanayo nunua wa Saudi Arabia na sisi huku ni sawa?Bei ya Gas na mafuta mpaka dhahabu haipangwi na mtu ni soko la dunia demand and supply hata mazao yetu tunalima wenyewe lakini soko linaamuwa bei sio serikali wala mtu mmoja. Gas inauzwa nje ndio kwenye dollar sasa wauze Tsh kwani ulisikia nyanya zile.