Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,207
- 3,059
hizi lite wengine kwao ni kama maji au soda ...Mtu anakata kreti 2 na kushushia na bapa!!...Mkuu unapiga zote 20 kwa wakati mmoja peke yako au?
Watu wanalewa mkuu....
hizi lite wengine kwao ni kama maji au soda ...Mtu anakata kreti 2 na kushushia na bapa!!...Mkuu unapiga zote 20 kwa wakati mmoja peke yako au?
Mbona unamwaga mtama namna hii kwenye kuku Wendi?Hujambo mlevi mbwa....😁
Nipo best, we ndio sikuoniMbona unamwaga mtama namna hii kwenye kuku Wendi?
Kweli hufai kupewa siri jf nzima imejua mimi mlevi 😀😀😀
Btw ulipotelea wapi.
Aisee kweli mkuuhizi lite wengine kwao ni kama maji au soda ...Mtu anakata kreti 2 na kushushia na bapa!!...
Watu wanalewa mkuu....