Wewe ulikuwepo ? Na hizo hisia zao ulizipima kwa kutumia kipimo gani ? Kama ni picha wote si tunaziona ?Nikisema wewe ndie unayeleta propaganda (sababu unatoa claims bila kuwa na data) nitakuwa nakosea ?
Nyie (wenye mawazo ya aina hiyo) ndio mlisema hatapata watu...watu wa aina yenu wakathubutu mpaka kusema uongo kwamba kapokelewa na piki piki tano na watu wachache pale kahama, mlipoona hiyo hainunuliki, mkarudi kwenye mabango, sasa kwa sababu wa mabango wamekuwa wachache sana unaleta propaganda nyingine, na kuniona mimi mjinga kiasi cha kuniambia nimelewa propaganda za Nyerere na Makene kama vile mimi sina uelewa wa kutafsiri mambo kwa kutumia akili yangu !
Nyie (wenye mawazo ya aina hiyo) ndio mlisema hatapata watu...watu wa aina yenu wakathubutu mpaka kusema uongo kwamba kapokelewa na piki piki tano na watu wachache pale kahama, mlipoona hiyo hainunuliki, mkarudi kwenye mabango, sasa kwa sababu wa mabango wamekuwa wachache sana unaleta propaganda nyingine, na kuniona mimi mjinga kiasi cha kuniambia nimelewa propaganda za Nyerere na Makene kama vile mimi sina uelewa wa kutafsiri mambo kwa kutumia akili yangu !
Mkuu, yaelekea umelewa sana na propaganda za akina Yeriko Nyerere na Rumaini Makene. Ukweli ni kuwa hao unaosema hawazidi 30 ni wale wenye mabango. Ila kuna watu wengi wanampinga Dr Slaa na hisia zao zilikua waziwazi