Kwa hiki nilichokiona Bungeni, nashauri CHADEMA wasirejeshe posho ya kujikimu!

Lugumgya

JF-Expert Member
Dec 10, 2019
629
1,997
Mwaka fulani nikiwa Chuo, Dr. ....alituambia twende kwenye Kijiji fulani kwa ajili kujifunza mbinu za Ushirikishwaji Jamii katika kutatua changamoto zinazowazunguka na kubaini vipaumbele vya mahitaji yao. Moja ya mbinu hiyo ilikuwa Participatory Rural Appraisal (PRA), n.k.

Logistics zote zikawekwa sawa. Siku ya tukio tulitangulia na yule Dr.....alibaki ili atujoin baadae. Siye tulivofika kijijini pale kwa gari la kukodi, tukatulia na kuanza kuchati ili tumsubiri mwalimu wetu huyo.

Baada ya saa kama mbili hivi akaja, alivofika tulikuwa hatujafanya chochote. Akachukia Sana. Alituuliza maswali mawili?
1. Inawezekanaj Wanafunzi wa Chuo Kikuu, mnatatoa fedha kukodi gari kuja kuchati wakati mngeweza kuchati mkiwa mmelala vitandani kwenu?

2. Je, kweli nyie ni Wanafunzi wa Chuo Kikuu, na mnatambua wajibu wenu kwa Taifa lenu?

Nimeamua kumrejea mwalimu wangu, baada ya kuona kinachoendelea bungeni, nikiwa nafuatilia mjadala wa mapendekezo ya bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo.

HALI ILIKUWA HIVI.

1. Mbunge wa Kwanza.
Mh. Spika nakushukuru kwa kuongoza Bunge vizuri. Nampongeza pia Mh Lukuvi kwa kuchapa kazi. Alikuja jimboni kwangu akachezewa ngoma za jadi, nafikiri zimemhamasisha kuchapa kazi. Ameshakuja jimboni kwangu Mara 2 na blah blah nyingine. Then, naunga mkono hoja kwa asilimia ! Kwaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa!

2. Mbunge wa Pili.
Mh spika nakushukuru kwa nafasi. Nafahamu vizuri mh Lukuvi tangu alipoteuliwa Mara ya kwanza kuwa DC, Bukoba. Mimi nilikuwa afisa utumishi na utawala wa Mji. Nilimzungusha Mjini, na kumtoa ushamba wa mji. Tangia hapo anapaa tu. Na blah blah nyingine. Then, kwaaa!kwaaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa!

3. Mbunge wa Tatu.
Ahsante Mh Spika kwa kunipatia nafasi. Waziri hongera Sana, unachapa kazi isiyokuwa na mfano. Wengine nafikir wanapaswa kujifunza kutoka kwako. Umetusogezea huduma pale wilayani, badala ya mkoani Kama ilivyokuwa awali. Tunashukuru Sana. Naunga mkono hoja asilimia mia moja. Then, kwaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaaa!


Nimejaribu kurejea kwenye maswali ya mwalimu wangu, miaka hiyo. Labda kwa sababu hakuwa mtanzania ndo maana alituona wajinga kutumia raslimali kwa Mambo yasiyo kuwa na tija. Unawezaje kuchangia mapendekezo ya bajeti kwa stori!? Unawezaj kuchangia mapendekezo ya bajeti kwa kusema ulivyomtembeza mtu mjini. Ina ongeza nn kwenye mapendekezo husika? Au jinsi alivyochezewa ngoma za jadi alivokuja kwenye Jimbo lako? Inaongeza nini na inatija gani kwenye hicho unachokichangia?

Fikra zangu zilikuwa zinaniambia kuwa kazi yao itakuwa ni kuibua Mambo muhimu kwa ajili ya kuboreha hayo mapendekezo na kushauri kwa kina ili kutatua changamoto zilizopo katika Wizara husika. Kumbe kwa Waheshimiwa wetu ni tofauti.

Binafsi natambua mchango wa Bunge katika Maendeleo ya Taifa letu, lkn natambua namna baadhi wabunge walivyogeuka kuwa mwiba mkali dhidi ya raslimali za Taifa letu. Wanazitumia bila huruma.

Unawezaj kulipwa pesa za kujikimu na pesa za kikao kwa ajili ya kupiga stori. Kwa ajili ya kuwaambia watu namna ulivyotembelewa Mara 2 na Waziri. Namna ulivyo mtembeza DC kujua mji? Nimesikitika na ukweli mmetuangusha.

Sasa kama michango ndo hiyo, Kuna tofauti gani na hao CHADEMA ambao hawashiriki. Kama michango ndo hiyo ni sawa na kwamba mmechukua fedha kwa kazi ambayo siyo yenyewe. Kusifia na stori badala ya kujielekeza kwenye hoja. Kama CHADEMA wnapaswa kurejesha posho za kujikimu, nyie mlioshiriki pia mnapaswa kurejesha hizo fedha, mbaki na za kikao kwa sababu mmehudhuria. Lakini kama mnajikimu ili kutekeleza wajibu wenu, tekelezeni kwa weledi. Maaana nafikiri uwezo mnao, tena Mkubwa tu.

Nahitimisha kwa kurejea maswali ya mwalimu wangu kwenu;

1. Inawezekanaj Wawakilishi wa Wananchi mkapokea fedha za kodi ya Wananchi kwa ajili ya kwenda kusifia na kupiga stori, wakati mngeweza kusifiana na kupiga stori mkiwa mmelala vitandani kwenu? Huo muda mnaopata, nashauri muutumie vizuri kuibana Serikali ili itusaidie Wananchi kutoka kwenye umaskini tuliyo nao.

2. Je, kweli nyie ni Wawakikishi wa Wananchi, na mnatambua wajibu wenu kwa Taifa lenu?

Nawasilisha kwa masikitiko.
 
Wasiporudisha hela hizo CCM wanafanya marekibisho kidogo ya kanuni za uchaguzi na kuongeza kipengele kinachosema "ukila hela za posho za bunge bila kufika bungeni jina lako linakatwa uchaguzi ujao bila huruma". Tukisema CCM ni baba lao muwe mnaelewa.
 
*Mkuu amini tumefanya makosa makubwa sana 2015 ambayo mpaka leo shetani bado anatushangaa

Ila amini kuwa tunaelekea kufanya makosa makubwa zaidi ya sana 2020 kwa ujinga wetu wenyewe.Amini kuwa mbinu chafu za hawa jamaa kutaka kubaki wao tu bungeni basi hicho ulichokiona huko bungeni kitakuwa mara2 yake zaidi na huko ndiko wanapoenda kufuta ukomo wa urais.

Watanzania tunahitaji kuamka tena haraka ama sivyo wengi tutaikimbia nchi tu siku sio nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka fulani nikiwa Chuo, Dr. ....alituambia twende kwenye Kijiji fulani kwa ajili kujifunza mbinu za Ushirikishwaji Jamii katika kutatua changamoto zinazowazunguka na kubaini vipaumbele vya mahitaji yao. Moja ya mbinu hiyo ilikuwa Participatory Rural Appraisal (PRA), n.k.

Logistics zote zikawekwa sawa. Siku ya tukio tulitangulia na yule Dr.....alibaki ili atujoin baadae. Siye tulivofika kijijini pale kwa gari la kukodi, tukatulia na kuanza kuchati ili tumsubiri mwalimu wetu huyo.

Baada ya saa kama mbili hivi akaja, alivofika tulikuwa hatujafanya chochote. Akachukia Sana. Alituuliza maswali mawili?
1. Inawezekanaj Wanafunzi wa Chuo Kikuu, mnatatoa fedha kukodi gari kuja kuchati wakati mngeweza kuchati mkiwa mmelala vitandani kwenu?

2. Je, kweli nyie ni Wanafunzi wa Chuo Kikuu, na mnatambua wajibu wenu kwa Taifa lenu?

Nimeamua kumrejea mwalimu wangu, baada ya kuona kinachoendelea bungeni, nikiwa nafuatilia mjadala wa mapendekezo ya bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo.

HALI ILIKUWA HIVI.

1. Mbunge wa Kwanza.
Mh. Spika nakushukuru kwa kuongoza Bunge vizuri. Nampongeza pia Mh Lukuvi kwa kuchapa kazi. Alikuja jimboni kwangu akachezewa ngoma za jadi, nafikiri zimemhamasisha kuchapa kazi. Ameshakuja jimboni kwangu Mara 2 na blah blah nyingine. Then, naunga mkono hoja kwa asilimia ! Kwaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa!

2. Mbunge wa Pili.
Mh spika nakushukuru kwa nafasi. Nafahamu vizuri mh Lukuvi tangu alipoteuliwa Mara ya kwanza kuwa DC, Bukoba. Mimi nilikuwa afisa utumishi na utawala wa Mji. Nilimzungusha Mjini, na kumtoa ushamba wa mji. Tangia hapo anapaa tu. Na blah blah nyingine. Then, kwaaa!kwaaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa!

3. Mbunge wa Tatu.
Ahsante Mh Spika kwa kunipatia nafasi. Waziri hongera Sana, unachapa kazi isiyokuwa na mfano. Wengine nafikir wanapaswa kujifunza kutoka kwako. Umetusogezea huduma pale wilayani, badala ya mkoani Kama ilivyokuwa awali. Tunashukuru Sana. Naunga mkono hoja asilimia mia moja. Then, kwaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaaa!


Nimejaribu kurejea kwenye maswali ya mwalimu wangu, miaka hiyo. Labda kwa sababu hakuwa mtanzania ndo maana alituona wajinga kutumia raslimali kwa Mambo yasiyo kuwa na tija. Unawezaje kuchangia mapendekezo ya bajeti kwa stori!? Unawezaj kuchangia mapendekezo ya bajeti kwa kusema ulivyomtembeza mtu mjini. Ina ongeza nn kwenye mapendekezo husika? Au jinsi alivyochezewa ngoma za jadi alivokuja kwenye Jimbo lako? Inaongeza nini na inatija gani kwenye hicho unachokichangia?

Fikra zangu zilikuwa zinaniambia kuwa kazi yao itakuwa ni kuibua Mambo muhimu kwa ajili ya kuboreha hayo mapendekezo na kushauri kwa kina ili kutatua changamoto zilizopo katika Wizara husika. Kumbe kwa Waheshimiwa wetu ni tofauti.

Binafsi natambua mchango wa Bunge katika Maendeleo ya Taifa letu, lkn natambua namna baadhi wabunge walivyogeuka kuwa mwiba mkali dhidi ya raslimali za Taifa letu. Wanazitumia bila huruma.

Unawezaj kulipwa pesa za kujikimu na pesa za kikao kwa ajili ya kupiga stori. Kwa ajili ya kuwaambia watu namna ulivyotembelewa Mara 2 na Waziri. Namna ulivyo mtembeza DC kujua mji? Nimesikitika na ukweli mmetuangusha.

Sasa kama michango ndo hiyo, Kuna tofauti gani na hao CHADEMA ambao hawashiriki. Kama michango ndo hiyo ni sawa na kwamba mmechukua fedha kwa kazi ambayo siyo yenyewe. Kusifia na stori badala ya kujielekeza kwenye hoja. Kama CHADEMA wnapaswa kurejesha posho za kujikimu, nyie mlioshiriki pia mnapaswa kurejesha hizo fedha, mbaki na za kikao kwa sababu mmehudhuria. Lakini kama mnajikimu ili kutekeleza wajibu wenu, tekelezeni kwa weledi. Maaana nafikiri uwezo mnao, tena Mkubwa tu.

Nahitimisha kwa kurejea maswali ya mwalimu wangu kwenu;

1. Inawezekanaj Wawakilishi wa Wananchi mkapokea fedha za kodi ya Wananchi kwa ajili ya kwenda kusifia na kupiga stori, wakati mngeweza kusifiana na kupiga stori mkiwa mmelala vitandani kwenu? Huo muda mnaopata, nashauri muutumie vizuri kuibana Serikali ili itusaidie Wananchi kutoka kwenye umaskini tuliyo nao.

2. Je, kweli nyie ni Wawakikishi wa Wananchi, na mnatambua wajibu wenu kwa Taifa lenu?

Nawasilisha kwa masikitiko.





Sent using Jamii Forums mobile app
Wabaki nazo ,mlipaji ni serikali ,muidhinishaji ni spika,tutakata hewani kwenye kiinua mgongo chao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka fulani nikiwa Chuo, Dr. ....alituambia twende kwenye Kijiji fulani kwa ajili kujifunza mbinu za Ushirikishwaji Jamii katika kutatua changamoto zinazowazunguka na kubaini vipaumbele vya mahitaji yao. Moja ya mbinu hiyo ilikuwa Participatory Rural Appraisal (PRA), n.k.

Logistics zote zikawekwa sawa. Siku ya tukio tulitangulia na yule Dr.....alibaki ili atujoin baadae. Siye tulivofika kijijini pale kwa gari la kukodi, tukatulia na kuanza kuchati ili tumsubiri mwalimu wetu huyo.

Baada ya saa kama mbili hivi akaja, alivofika tulikuwa hatujafanya chochote. Akachukia Sana. Alituuliza maswali mawili?
1. Inawezekanaj Wanafunzi wa Chuo Kikuu, mnatatoa fedha kukodi gari kuja kuchati wakati mngeweza kuchati mkiwa mmelala vitandani kwenu?

2. Je, kweli nyie ni Wanafunzi wa Chuo Kikuu, na mnatambua wajibu wenu kwa Taifa lenu?

Nimeamua kumrejea mwalimu wangu, baada ya kuona kinachoendelea bungeni, nikiwa nafuatilia mjadala wa mapendekezo ya bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo.

HALI ILIKUWA HIVI.

1. Mbunge wa Kwanza.
Mh. Spika nakushukuru kwa kuongoza Bunge vizuri. Nampongeza pia Mh Lukuvi kwa kuchapa kazi. Alikuja jimboni kwangu akachezewa ngoma za jadi, nafikiri zimemhamasisha kuchapa kazi. Ameshakuja jimboni kwangu Mara 2 na blah blah nyingine. Then, naunga mkono hoja kwa asilimia ! Kwaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa!

2. Mbunge wa Pili.
Mh spika nakushukuru kwa nafasi. Nafahamu vizuri mh Lukuvi tangu alipoteuliwa Mara ya kwanza kuwa DC, Bukoba. Mimi nilikuwa afisa utumishi na utawala wa Mji. Nilimzungusha Mjini, na kumtoa ushamba wa mji. Tangia hapo anapaa tu. Na blah blah nyingine. Then, kwaaa!kwaaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa!

3. Mbunge wa Tatu.
Ahsante Mh Spika kwa kunipatia nafasi. Waziri hongera Sana, unachapa kazi isiyokuwa na mfano. Wengine nafikir wanapaswa kujifunza kutoka kwako. Umetusogezea huduma pale wilayani, badala ya mkoani Kama ilivyokuwa awali. Tunashukuru Sana. Naunga mkono hoja asilimia mia moja. Then, kwaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaaa!


Nimejaribu kurejea kwenye maswali ya mwalimu wangu, miaka hiyo. Labda kwa sababu hakuwa mtanzania ndo maana alituona wajinga kutumia raslimali kwa Mambo yasiyo kuwa na tija. Unawezaje kuchangia mapendekezo ya bajeti kwa stori!? Unawezaj kuchangia mapendekezo ya bajeti kwa kusema ulivyomtembeza mtu mjini. Ina ongeza nn kwenye mapendekezo husika? Au jinsi alivyochezewa ngoma za jadi alivokuja kwenye Jimbo lako? Inaongeza nini na inatija gani kwenye hicho unachokichangia?

Fikra zangu zilikuwa zinaniambia kuwa kazi yao itakuwa ni kuibua Mambo muhimu kwa ajili ya kuboreha hayo mapendekezo na kushauri kwa kina ili kutatua changamoto zilizopo katika Wizara husika. Kumbe kwa Waheshimiwa wetu ni tofauti.

Binafsi natambua mchango wa Bunge katika Maendeleo ya Taifa letu, lkn natambua namna baadhi wabunge walivyogeuka kuwa mwiba mkali dhidi ya raslimali za Taifa letu. Wanazitumia bila huruma.

Unawezaj kulipwa pesa za kujikimu na pesa za kikao kwa ajili ya kupiga stori. Kwa ajili ya kuwaambia watu namna ulivyotembelewa Mara 2 na Waziri. Namna ulivyo mtembeza DC kujua mji? Nimesikitika na ukweli mmetuangusha.

Sasa kama michango ndo hiyo, Kuna tofauti gani na hao CHADEMA ambao hawashiriki. Kama michango ndo hiyo ni sawa na kwamba mmechukua fedha kwa kazi ambayo siyo yenyewe. Kusifia na stori badala ya kujielekeza kwenye hoja. Kama CHADEMA wnapaswa kurejesha posho za kujikimu, nyie mlioshiriki pia mnapaswa kurejesha hizo fedha, mbaki na za kikao kwa sababu mmehudhuria. Lakini kama mnajikimu ili kutekeleza wajibu wenu, tekelezeni kwa weledi. Maaana nafikiri uwezo mnao, tena Mkubwa tu.

Nahitimisha kwa kurejea maswali ya mwalimu wangu kwenu;

1. Inawezekanaj Wawakilishi wa Wananchi mkapokea fedha za kodi ya Wananchi kwa ajili ya kwenda kusifia na kupiga stori, wakati mngeweza kusifiana na kupiga stori mkiwa mmelala vitandani kwenu? Huo muda mnaopata, nashauri muutumie vizuri kuibana Serikali ili itusaidie Wananchi kutoka kwenye umaskini tuliyo nao.

2. Je, kweli nyie ni Wawakikishi wa Wananchi, na mnatambua wajibu wenu kwa Taifa lenu?

Nawasilisha kwa masikitiko.
Haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema ni wezi wamesaliti Wananchi Wasubirie October wataiona hasira ya Watanzania
 
Wasiporudisha hela hizo CCM wanafanya marekibisho kidogo ya kanuni za uchaguzi na kuongeza kipengele kinachosema "ukila hela za posho za bunge bila kufika bungeni jina lako linakatwa uchaguzi ujao bila huruma". Tukisema CCM ni baba lao muwe mnaelewa.
Bunge la ajabu sana, bila chadema bunge linageuka la kupiga soga. Kiongozi wao ndiyo kabisa, yeye wa kuongozwa na mkuu nayeye ni kuongeza ktk kutenda juu ya mzee.

Tukiwa na hiki chama bila ya tume huru ns kupata vingozi wenye uchungu na maisha ua watu mpk Yesu atarudi na kukuta wakulima wa jembe la mkono wamebaki TZ tu.

Kilimo pekee ndiyo kinaweza kuleta maendeleo ya kweli TZ siyo madini wala viwanda lkn majuha hayajui hilo. Kuanzia A wao mkp Z wao eti TZ ya viwanda mmfyuuu tyuu. Unaweza kujenga kiwanda gani ukamzidi mchina au huyo mzungu.

Mtu mwenye kujielewa hawezi kuwa chama hicho bila kuinua kilimo na mazwazwa tumejaa pongezi za kupongeza tunatengeneza baiskeli za miti unasukuma mpk mlimani inaanza kushuka kwa mteremko. Bakini wenyewe chadema msirudi wapeni na visenti vyao. Faini haijawatosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunge la ajabu sana, bila chadema bunge linageuka la kupiga soga. Kiongozi wao ndiyo kabisa, yeye wa kuongozwa na mkuu nayeye ni kuongeza ktk kutenda juu ya mzee.

Tukiwa na hiki chama bila ya tume huru ns kupata vingozi wenye uchungu na maisha ua watu mpk Yesu atarudi na kukuta wakulima wa jembe la mkono wamebaki TZ tu.

Kilimo pekee ndiyo kinaweza kuleta maendeleo ya kweli TZ siyo madini wala viwanda lkn majuha hayajui hilo. Kuanzia A wao mkp Z wao eti TZ ya viwanda mmfyuuu tyuu. Unaweza kujenga kiwanda gani ukamzidi mchina au huyo mzungu.

Mtu mwenye kujielewa hawezi kuwa chama hicho bila kuinua kilimo na mazwazwa tumejaa pongezi za kupongeza tunatengeneza baiskeli za miti unasukuma mpk mlimani inaanza kushuka kwa mteremko. Bakini wenyewe chadema msirudi wapeni na visenti vyao. Faini haijawatosha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama wabunge wenyewe ni kina Kasheku na Jaha People unategemea michango gani zaidi ya hiyo uliyo isikia?
Mwaka fulani nikiwa Chuo, Dr. ....alituambia twende kwenye Kijiji fulani kwa ajili kujifunza mbinu za Ushirikishwaji Jamii katika kutatua changamoto zinazowazunguka na kubaini vipaumbele vya mahitaji yao. Moja ya mbinu hiyo ilikuwa Participatory Rural Appraisal (PRA), n.k.

Logistics zote zikawekwa sawa. Siku ya tukio tulitangulia na yule Dr.....alibaki ili atujoin baadae. Siye tulivofika kijijini pale kwa gari la kukodi, tukatulia na kuanza kuchati ili tumsubiri mwalimu wetu huyo.

Baada ya saa kama mbili hivi akaja, alivofika tulikuwa hatujafanya chochote. Akachukia Sana. Alituuliza maswali mawili?
1. Inawezekanaj Wanafunzi wa Chuo Kikuu, mnatatoa fedha kukodi gari kuja kuchati wakati mngeweza kuchati mkiwa mmelala vitandani kwenu?

2. Je, kweli nyie ni Wanafunzi wa Chuo Kikuu, na mnatambua wajibu wenu kwa Taifa lenu?

Nimeamua kumrejea mwalimu wangu, baada ya kuona kinachoendelea bungeni, nikiwa nafuatilia mjadala wa mapendekezo ya bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo.

HALI ILIKUWA HIVI.

1. Mbunge wa Kwanza.
Mh. Spika nakushukuru kwa kuongoza Bunge vizuri. Nampongeza pia Mh Lukuvi kwa kuchapa kazi. Alikuja jimboni kwangu akachezewa ngoma za jadi, nafikiri zimemhamasisha kuchapa kazi. Ameshakuja jimboni kwangu Mara 2 na blah blah nyingine. Then, naunga mkono hoja kwa asilimia ! Kwaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa!

2. Mbunge wa Pili.
Mh spika nakushukuru kwa nafasi. Nafahamu vizuri mh Lukuvi tangu alipoteuliwa Mara ya kwanza kuwa DC, Bukoba. Mimi nilikuwa afisa utumishi na utawala wa Mji. Nilimzungusha Mjini, na kumtoa ushamba wa mji. Tangia hapo anapaa tu. Na blah blah nyingine. Then, kwaaa!kwaaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaa!

3. Mbunge wa Tatu.
Ahsante Mh Spika kwa kunipatia nafasi. Waziri hongera Sana, unachapa kazi isiyokuwa na mfano. Wengine nafikir wanapaswa kujifunza kutoka kwako. Umetusogezea huduma pale wilayani, badala ya mkoani Kama ilivyokuwa awali. Tunashukuru Sana. Naunga mkono hoja asilimia mia moja. Then, kwaa! Kwaaa! Kwaaa! Kwaaaa!


Nimejaribu kurejea kwenye maswali ya mwalimu wangu, miaka hiyo. Labda kwa sababu hakuwa mtanzania ndo maana alituona wajinga kutumia raslimali kwa Mambo yasiyo kuwa na tija. Unawezaje kuchangia mapendekezo ya bajeti kwa stori!? Unawezaj kuchangia mapendekezo ya bajeti kwa kusema ulivyomtembeza mtu mjini. Ina ongeza nn kwenye mapendekezo husika? Au jinsi alivyochezewa ngoma za jadi alivokuja kwenye Jimbo lako? Inaongeza nini na inatija gani kwenye hicho unachokichangia?

Fikra zangu zilikuwa zinaniambia kuwa kazi yao itakuwa ni kuibua Mambo muhimu kwa ajili ya kuboreha hayo mapendekezo na kushauri kwa kina ili kutatua changamoto zilizopo katika Wizara husika. Kumbe kwa Waheshimiwa wetu ni tofauti.

Binafsi natambua mchango wa Bunge katika Maendeleo ya Taifa letu, lkn natambua namna baadhi wabunge walivyogeuka kuwa mwiba mkali dhidi ya raslimali za Taifa letu. Wanazitumia bila huruma.

Unawezaj kulipwa pesa za kujikimu na pesa za kikao kwa ajili ya kupiga stori. Kwa ajili ya kuwaambia watu namna ulivyotembelewa Mara 2 na Waziri. Namna ulivyo mtembeza DC kujua mji? Nimesikitika na ukweli mmetuangusha.

Sasa kama michango ndo hiyo, Kuna tofauti gani na hao CHADEMA ambao hawashiriki. Kama michango ndo hiyo ni sawa na kwamba mmechukua fedha kwa kazi ambayo siyo yenyewe. Kusifia na stori badala ya kujielekeza kwenye hoja. Kama CHADEMA wnapaswa kurejesha posho za kujikimu, nyie mlioshiriki pia mnapaswa kurejesha hizo fedha, mbaki na za kikao kwa sababu mmehudhuria. Lakini kama mnajikimu ili kutekeleza wajibu wenu, tekelezeni kwa weledi. Maaana nafikiri uwezo mnao, tena Mkubwa tu.

Nahitimisha kwa kurejea maswali ya mwalimu wangu kwenu;

1. Inawezekanaj Wawakilishi wa Wananchi mkapokea fedha za kodi ya Wananchi kwa ajili ya kwenda kusifia na kupiga stori, wakati mngeweza kusifiana na kupiga stori mkiwa mmelala vitandani kwenu? Huo muda mnaopata, nashauri muutumie vizuri kuibana Serikali ili itusaidie Wananchi kutoka kwenye umaskini tuliyo nao.

2. Je, kweli nyie ni Wawakikishi wa Wananchi, na mnatambua wajibu wenu kwa Taifa lenu?

Nawasilisha kwa masikitiko.

In God we Trust
 
Vipi yule mbunge wenu aliyekamatwa na silaha 16 hatarishi mmesha muwekea dhamana?
Wasiporudisha hela hizo CCM wanafanya marekibisho kidogo ya kanuni za uchaguzi na kuongeza kipengele kinachosema "ukila hela za posho za bunge bila kufika bungeni jina lako linakatwa uchaguzi ujao bila huruma". Tukisema CCM ni baba lao muwe mnaelewa.

In God we Trust
 
Back
Top Bottom