phytoscience
Member
- Sep 30, 2017
- 12
- 7
Habari za leo.
Ukiwa ni tarehe 30/06 asubuhi toka saa kumi na mbili asubuhi system ya kupokea taarifa iko chini na inachukua muda mrefu sana kuload.
Tunaomba mfanye jambo ili matakwa ya kisheria yatekelezwe. Sheria inataka mpaka tarehe 30 sasa kufanya system iwe na issue wakati tunajua kabisa tunawateja wangapi kuwa na server ambazo zinaweza kuwaaccomodate watu wote ni kitu muhimu.
Tulipende taifa letu kwa kuhakikisha mifumo iko vyema. Ahsanteni
Ukiwa ni tarehe 30/06 asubuhi toka saa kumi na mbili asubuhi system ya kupokea taarifa iko chini na inachukua muda mrefu sana kuload.
Tunaomba mfanye jambo ili matakwa ya kisheria yatekelezwe. Sheria inataka mpaka tarehe 30 sasa kufanya system iwe na issue wakati tunajua kabisa tunawateja wangapi kuwa na server ambazo zinaweza kuwaaccomodate watu wote ni kitu muhimu.
Tulipende taifa letu kwa kuhakikisha mifumo iko vyema. Ahsanteni