Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Hii Ndio Tanzania ya Magufuli, Rais Magufuli anajenga Nchi, wagombea wengine wanajenga chuki
Kwa hii miundombinu sisi Watanzania kura zote kwako Rais Magufuli
Wewe na nani?
Acha kusema sisi.
Jisemee nafsi yako hiyo ndio demokrasia
Ni wapi huko?
Umeidownload wapi hiyo picha?
Si Tazara wala Ubungo.
Jibu swali, tueleze hiyo ni sehemu gani.Tulia uangalie vizuri
Lumumba wanachofanya nikuforwadiwa picha na 'superviza' wao na kuamriwa kuinadi nayo yalivyo mazwazwa na njaa ilivoyatawala yanapost tu.!Umeidownload wapi hiyo picha?
Si Tazara wala Ubungo.
Sio uchaguzi tu sema uchaguzi huru na haki uone kama anatoboa hata asilimia 2Mkuu utafiti umefanyika, km Uchaguzi utafanyika kesho tayari Rais Magufuli anashinda kwa 89%
Sio uchaguzi tu sema uchaguzi huru na haki uone kama anatoboa hata asilimia 2
Yaani NEC iwe chombo huru, maDED wawe huru, Polisi iwe huru uone kama anafika hata Kibaigwa
Aya ayo madude ndiyo mwanachi wa hungumalwa amchague kisa ayo ya kupigia pichaView attachment 1567253
Hii Ndio Tanzania ya Magufuli, Rais Magufuli anajenga Nchi, wagombea wengine wanajenga chuki
Kwa hii miundombinu sisi Watanzania kura zote kwako Rais Magufuli
Aya ayo madude ndiyo mwanachi wa hungumalwa amchague kisa ayo ya kupigia picha
Mi sina chama mkuu.View attachment 1567265
Tatizo mnapenda kujifariji mtandaoni
Angalia wenzio wanasombwa kwenda kujaza
Mi sina chama mkuu.
Hao Chadema wanasombwa kwenda kwenye mkutano lakin naona hata CCM wanasomba watu kwahiyo wote mnafanana tu
acha ufala hii picha ni INDIAView attachment 1567253
Hii Ndio Tanzania ya Magufuli, Rais Magufuli anajenga Nchi, wagombea wengine wanajenga chuki
Kwa hii miundombinu sisi Watanzania kura zote kwako Rais Magufuli