citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,559
- 764
Membe?Wakoloni wametuachia Ikulu na mahospital nchi nzima, kama Muhimbili Ocean road nk.
Ni ngumu sana kuwa na rais asiejua kidhungu kwa miaka kumi. Ampishe tu Membe.
Membe?Wakoloni wametuachia Ikulu na mahospital nchi nzima, kama Muhimbili Ocean road nk.
Ni ngumu sana kuwa na rais asiejua kidhungu kwa miaka kumi. Ampishe tu Membe.
Stupid
Ni mshamba tu huyo jamaa eti KigaliYaani unafananisha Dodoma na Kigali. Kigali kuna nini
uwanja sio jk,Hata JK alituachia UDOM,Uwanja wa Mpira wa Taifa wa kisasa(National Stadium), na hata wakolini nao walituachia mabarabara na reli.