Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
- Thread starter
- #101
Mbunge wa Chadema alisema lissu kupigwa risasi ilikuwa mpango wa chama Kwasababu alitaka kujijenga yeye Ndio maana majasusi ya Chadema yakataka kumpoteza
Hujiulizi Kwanini walimtorosha dereva wa lissu ?
Hujiulizi Kwanini walimtorosha dereva wa lissu ?
Kama zipo mnamfahamu aliyetaka kumuua lisu.
Nani aliondoa Walinzi area D ili lisu ashughulikiwe bila msaada?