Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Asante Magufuli umejua kuwatumikia Watanzania
October tutakupa kura zote
Hapati kura yangu huyo
Hata JK alituachia UDOM,Uwanja wa Mpira wa Taifa wa kisasa, na hata wakolini nao walituachia mabarabara na reli.
Yaani unafananisha Dodoma na Kigali. Kigali kuna nini
hapati kura yangu huyo
Ungesema Jiji la maana sio Kigali, au huijui KigaliKigali ni jiji safi na limepangika ndio dodoma inakoelekea
Mlisema mtampeleka ICJ vipi safari iliishia wapiHata JK alituachia UDOM,Uwanja wa Mpira wa Taifa wa kisasa(National Stadium), na hata wakolini nao walituachia mabarabara na reli.
Kwani hiyo hela inatoka katika akaunti ya CCM?Mambo ya Ccm hayo tuendelee kuwaamini
Mlisema mtampeleka ICJ vipi safari iliishia wapi
Ungesema Jiji la maana sio Kigali, au huijui Kigali
Wakoloni wametuachia Ikulu na mahospital nchi nzima, kama Muhimbili Ocean road nk.
Ni ngumu sana kuwa na rais asiejua kidhungu kwa miaka kumi. Ampishe tu Membe.
Ccm hii kutumia nguvu
Kwani hiyo hela inatoka katika akaunti ya CCM?
Acha ushamba!!
Unaijua Dodoma vizuri?Kama Magufuli asingetoa pesa unadhani Dodoma ingependeza km ilivyo leo?
Ushamba ni mzigo aise....umeshawahi fika KIGALI?nilijua kidogo ungesema tupate jiji kama Nairobi,J'burg....we unaleta mji ambao ukiondoa usafi ni kama kwenu GEITA tu