johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,830
- 141,743
Najaribu kutafakari tu maneno ya Yesu Kristo aliposema....." ikiwa wanayatenda haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa ule mkavu?"
Kiukweli kwa mti mkavu bila kukimbia unaweza ukaungua kabisa.
Niendelee kuwatakia Juma Takatifu lenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli kwa mti mkavu bila kukimbia unaweza ukaungua kabisa.
Niendelee kuwatakia Juma Takatifu lenye baraka
Maendeleo hayana vyama!