Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
RIP Shelembi! Nasikia aliishia darasa la saba huyu lakini alikua anapendwa sana
apumzike kwa amani. raha ya milele uumpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani. Amina. kwa jina la baba nala mwana na la roho mtakatifu amina.
Acha ushambenga na uchochezi!! Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi mbele ya viongozi wa Chadema na ndugu zake na matokeo yalitangazwa RFA na vyombo vingine, sasa nani amumua. Kwani ulitaka afe nani? basi ungekufa wewe kama unaona wamemua. @#$%$@@#^&&