watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa jamii forum ahaa naondoka nimechoka
Bishanga sielewielewi,what is the issue here?
mbona wakati unagawa hiyo namba hukutupa taarifa?
Kama ambavyo ulifanya kwenye hiyo namba kimya kimya ungeondoka bila kuaga,
unatuaga ili tufanyeje sasa?