Kwaheri JF

Ulitumwa utoe namba yako ya simu mkomage na nyie saa nyingine unagawa namba kama unauza karanga????
 
Tatizo huyu alijua hapa ni facebook hadi atoe namba kwanza sidhani hata kuna mmoja mwenye namba yako hapa jf sasa mbona I'd inaonesha uko hewani ?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
hahaha sridi nyingine bhana, kwahiy ounaogopa kutolewa out, au kuna mengine unayoyakimbia?!
by id mase , karibu id mpya!
 
Kumbe ulikuwemo JF!?
Kwani JF ilihitaji namba yako?
Kama uligawa mwenyewe, huko uendako KAGAWE ZAIDI
 
Back
Top Bottom