Kwaheri JF

Sidhani hapa kama tatizo ni namba ya sim uliyowapa hao jamaa zako minadhani unaona so kisa wamekufanya used, wakishamegawanasepa.
 
mleta uzi usije kuwa una ule ugonjwa wa watu wazim unaitwa STRESS..... ni hatari sana aisee mabaya zaidi hauna tiba kwa hiyo kila sehemu utakua unaingia na kutoka tuu
 
salamu zao, kwani kuhama JF ndiyo suluhisho? Jf simshauri mtu ahame hata kidogo imenipa Job, Maujanja ktk malovedav, maujanja ktk mikasa mbalimbali, Bado mchumba tu kama siyo mke kabisa,

wasalimie bwana @ UNASETI SIMU KIINGEREZA WAKATI HATA A, E, I, O, U HUJAENDA....TABU SANA,
KUWA MWANGALIFU HATA HUKO UENDAKO
 
Shost nitumie namba yako na mimi, mi sisumbuagi nafanya kweli, we jaribu tu uone
 
kwani wewe jinsia gani? unataka kwenda wapi facebook? usiende bana. kama vipi wablock wanao kusumbua usiku. tunakuhitaji sana jf. pole sana mkuu. mia
 
watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa jamii forum ahaa naondoka nimechoka


Ndoto za mchana ndani ya daladala zina maruwe ruwe! Yaana unaota umekuwaa maarufu JF watu wote wanakupigia simu hadi unakereka! AMKA WEWE!
 
[h=1]mase88
user-online.png

Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
[/h]

[h=5]Mini Statistics[/h]Join Date9th February 2012Last ActivityToday 14:12

nenda tu mdogo wangu, hakuna cha maana unachoongeza humu jamvini, sanasana utakuwa umetusaidia

hahahahah u've made myday!
 
ah atupishe bwana!kwani nani alimtuma agawe namba za simu
kuna mtu alimlazimisha ?anatupigia kelele za nini hapa anafikir kila mtu kid mwenzie hapa ala!ye alipotoa namba si manake apigiwe sasa mbona alipokuwa anatoa namba hakutoa tangazo la habari hapa!:A S angry:

Na mimi nataka number yako ili nikusumbuesumbue.
 
sikujua kama nakuudhi kiasi hiki kukupigia, pole ila ungeniambia.

Sipigi tena.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom