Kwa heri CCM

Mwita25

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
3,836
1,164
Kwako Invisible!

Usiku wa kuamkia leo niliamshwa na haja ndogo, na kama kawaida nilikimbilia chooni. Wakati narudi kitandani niligugundua kuwa sina magamba yangu. Looh! Nilistaajabu sana, lakini wakati naendendelea kutafakari niliona gamba moja lipo karibu na ukutani.

Kutahamaki kumbe yote yalikuwa yamechomoka. Nilipojaribu kuyaruridishia, yakawa madogo kuliko mwili wangu, yaani yamenikataa. Huu ukawa mwanzo wa kukatalaliwa na CCM. Sikustaajabu kwa sababu CCM amewakataa watu wengi sana.

Infact, anajikataa hata yeye mwenyewe. Sina maneno mazuri ya kujieleza zaidi ya kusema kuwa ndoa yangu na CCM imeisha leo. Hizi taarifa haziwezi kuingia kwenye kichwa cha Nape, kada nambari moja asiyejua kazi yake zaidi ya kulazimisha watu tuipiganie CCM kwa nguvu zote tena sehemu yoyote.

Taarifa ni chungu zaidi kwa Mwenyekiti wa UVCCM, Dodoma ambaye kucha kutwa anatuma vivocha kwa wanafunzi wa UDOM ili, eti waipiganie CCM! Kwa lipi hasa? Chama ambacho hata Mwenyekiti wake mstaafu anapangiwa maneno ya kuongea jukwaani! Chama ambacho kiko tayari kuua ili kipate kura moja?!

Hiki ndiyo chama kilichoshika hatamu Tanzania! Sina maneno mengi ila kusema kuwa umbumbumbu wangu umefika kikomo. Gamba limeng'ang'ania kwenye godoro na sasa najisikia mwepesi saaaaaana kiasi cha kujuta kwa nini nimeteseka muda wote huo kula chakula cha simba ambaye mwisho wa siku anataka anitafune?

Nimeteseka sana, nimenyanyasika sana na nimehuzunika sana na sasa NAACHIA NGAZI.

People's Power!
 
Kwako Invisible!
Usiku wa kuamkia leo niliamshwa na haja ndogo, na kama kawaida nilikimbilia chooni. Wakati narudi kitandani niligugundua kuwa sina magamba yangu. Looh! Nilistaajabu sana, lakini wakati naendendelea kutafakari niliona gamba moja lipo karibu na ukutani. Kutahamaki kumbe yote yalikuwa yamechomoka. Nilipojaribu kuyaruridishia, yakawa madogo kuliko mwili wangu, yaani yamenikataa.

Huu ukawa mwanzo wa kukatalaliwa na CCM. Sikustaajabu kwasababu CCM amewakataa watu wengi sana. Infact, anajikataa hata yeye mwenyewe. Sina maneno mazuri ya kujieleza zaidi ya kusema kuwa ndoa yangu na CCM imeisha leo. Hizi taarifa haziwezi kuingia kwenye kichwa cha Nape, kada nambari moja asiyejua kazi yake zaidi ya kulazimisha watu tuipiganie CCM kwa nguvu zote tena sehemu yoyote.

Taarifa ni chungu zaidi kwa Mwenyekiti wa UVCCM, Dodoma ambaye kucha kutwa anatuma vivocha kwa wanafunzi wa UDOM ili, eti waipiganie CCM! Kwa lipi hasa? Chama ambacho hata Mwenyekiti wake mstaafu anapangiwa maneno ya kuongea jukwaani! Chama ambacho kiko tayari kuua ili kipate kura moja?!!! Hiki ndiyo chama kilichoshika hatamu Tanzania!

Sina maneno mengi ila kusema kuwa umbumbumbu wangu umefika kikomo. Gamba limeng'ang'ania kwenye godoro na sasa najisikia mwepesi saaaaaana kiasi cha kujuta kwanini nimeteseka muda wote huo kula chakula cha simba ambaye mwisho wa siku anataka anitafune??????? Nimeteseka sana, nimenyanyasika sana na nimehuzunika sana na sasa NAACHIA NGAZI.

People's Power!

You better check urself before......
Ice Cube - Check Your Self - YouTube
Otherwise get this stuff in ur system....
Lil Scrappy - Get Some Crunk In Yo System (BASSED UP) - YouTube
 
Mbona kam siamini Mwita25! Nini kimekisibu au wamekurusha akina Nape ndiyo ukaon hawan maana! Pole lakini kwa kuwa umeomba msamaha huna budi kusamehewa lakini isije n ID nyingine ili kutupiga changa la macho na kuendelea na umbumbu wako ambao umekutesa kwa kipindi.
 
Mhhhhhhhhhhhh, jamani iteni ambulance haraka kuna mgonjwa huku anaweza kupoteza fahamu kama sio maisha muda mfupi ujao. Au ni mashetani haya?
 
Mbona kam siamini Mwita25! Nini kimekisibu au wamekurusha akina Nape ndiyo ukaon hawan maana! Pole lakini kwa kuwa umeomba msamaha huna budi kusamehewa lakini isije n ID nyingine ili kutupiga changa la macho na kuendelea na umbumbu wako ambao umekutesa kwa kipindi.
Mimi pia bado siamini kama huyu ni mwita25 ninayemfahamu humu jf..
 
Mhhh! kuna mtu kaingia kwenye server ya jf jamani, kiroja!
 
HApa kuna mtu kaiba Password yake tu lazima.

Ila inafurahisha kuona kwamba unaweza 'kufunguka' hivi wakati mwingine.

Toa gamba tupa kule, vaa utu upya.
 
Hivi MS "nae" alishavua magamba? Kuna siku niliona amekuja kivingine saana baada ya ile hutuba ya JK siku ya eid kule dodoma.
 
Kwako Invisible!
Usiku wa kuamkia leo niliamshwa na haja ndogo, na kama kawaida nilikimbilia chooni. Wakati narudi kitandani niligugundua kuwa sina magamba yangu. Looh! Nilistaajabu sana, lakini wakati naendendelea kutafakari niliona gamba moja lipo karibu na ukutani. Kutahamaki kumbe yote yalikuwa yamechomoka. Nilipojaribu kuyaruridishia, yakawa madogo kuliko mwili wangu, yaani yamenikataa.

Huu ukawa mwanzo wa kukatalaliwa na CCM. Sikustaajabu kwasababu CCM amewakataa watu wengi sana. Infact, anajikataa hata yeye mwenyewe. Sina maneno mazuri ya kujieleza zaidi ya kusema kuwa ndoa yangu na CCM imeisha leo. Hizi taarifa haziwezi kuingia kwenye kichwa cha Nape, kada nambari moja asiyejua kazi yake zaidi ya kulazimisha watu tuipiganie CCM kwa nguvu zote tena sehemu yoyote.

Taarifa ni chungu zaidi kwa Mwenyekiti wa UVCCM, Dodoma ambaye kucha kutwa anatuma vivocha kwa wanafunzi wa UDOM ili, eti waipiganie CCM! Kwa lipi hasa? Chama ambacho hata Mwenyekiti wake mstaafu anapangiwa maneno ya kuongea jukwaani! Chama ambacho kiko tayari kuua ili kipate kura moja?!!! Hiki ndiyo chama kilichoshika hatamu Tanzania!

Sina maneno mengi ila kusema kuwa umbumbumbu wangu umefika kikomo. Gamba limeng'ang'ania kwenye godoro na sasa najisikia mwepesi saaaaaana kiasi cha kujuta kwanini nimeteseka muda wote huo kula chakula cha simba ambaye mwisho wa siku anataka anitafune??????? Nimeteseka sana, nimenyanyasika sana na nimehuzunika sana na sasa NAACHIA NGAZI.

People's Power!
Mkuu Mwita mimi bado ni Thomaso sijaamini, ngoja nipekue na kesho nipate jibu sahihi!!!!!!!!!!!!!!
 
hahahaha never trust this information ila kama niza kweli kijana utakuwa umepiga hatua kubwa ya kuwakomboa watanzania wenzako katika mfumo kandamizi.
 
Mbona kam siamini Mwita25! Nini kimekisibu au wamekurusha akina Nape ndiyo ukaon hawan maana! Pole lakini kwa kuwa umeomba msamaha huna budi kusamehewa lakini isije n ID nyingine ili kutupiga changa la macho na kuendelea na umbumbu wako ambao umekutesa kwa kipindi.
Mathomaso tupo wengi, ila nasikitikia wenye ndoa za kudumu na CCM kama mkuu fulani mwenye deni la over a billion Tshs mpaka alipe awe na ubavu wa kuvua gamba, nampa pole!!!!!!!!!!!
 
Jamani jamani! Mwita25 nimjuae au kuna mtu amehack akaunt yake? NIMECHEKA SANA! U made my day dude!
 
Yote kwa yote,tunakupa muda ili tuone michango yako kama imebadilika, halafu hebu weka wazi uovu wa Nape zaidi tumjue huyu jamaa na mbinu zake kama kweli ineokoka na jinamizi la Magamba.

Mkuu kuna thread moja inazungumzia Slaa kukimbia mdahalo, nimewaeleza jinsi Slaa alivyo muhimu kuliko hiyo midahalo yao ya kujiingizia vijisenti. Nimempigia Nape na Mwenyekiti wa UVCCM Dodoma lakini wamenitukana matusi ya nguoni. Hii haizuii uamuzi wangu wa kukubaliana na ukweli badala ya kushindana na ukweli!
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom