johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,853
Ni kawaida viongozi wa CCM wanapokutana na mauzauza ndani ya chama pendwa CCM basi hujiweka kando kwa kuhamia Chadema.
Ilikuwa hivyo kwa Lowassa, Sumaye, Mwita Waitara, Dr Mollel nk nk. Na hao wote walipokelewa kwa shangwe Chadema.
Haitashangaza iwapo Ole sabaya atafuata utaratibu huo na ni wazi Chadema watampokea, watamsamehe na kumsafisha
Kazi Iendelee
Ilikuwa hivyo kwa Lowassa, Sumaye, Mwita Waitara, Dr Mollel nk nk. Na hao wote walipokelewa kwa shangwe Chadema.
Haitashangaza iwapo Ole sabaya atafuata utaratibu huo na ni wazi Chadema watampokea, watamsamehe na kumsafisha
Kazi Iendelee