Prof. Muhongo kutoka si suluhisho: Tatizo mikataba ikoje?

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Mar 11, 2016
2,629
2,288
Nimefatilia hili sakata la mchanga na ripoti iliyotolewa.

Nina maswali mengi sana ya kujiuliza;

1) Kwani Muhongo akitoka ndo suluhisho la kutoibiwa rasilimali zetu? Je, mikataba inasemaje kuhusu kusafirisha michanga nje ya nchi?

2) Hivi haya yanayoendelea kwenye hii nchi hasa katika masuala ya madini na rasilimali zetu hawa viongozi wa CCM waliopo walikuwa hawayajui?

3) Hivi ni Muhongo ndo alisaini hii mikataba ya madini na wawekezaji?

4) Aliesaini hii mikataba ya madini yupo nchini? Au alishatangulia mbele ya haki? Mi nadhani hapa mheshimiwa chonde chonde usimtoe huyu jamaa.

Suluhisho la hii wizara, na chanzo chote cha yanayotokea ni ubovu wa mikataba iliyopo. Nadhani turudi kwenye tatizo bila kumwajibisha yeyote.
 
Nimefatilia hili sakata la mchanga na ripoti iliyotolewa.

Nina maswali mengi sana ya kujiuliza;

1) Kwani Muhongo akitoka ndo suluhisho la kutoibiwa rasilimali zetu? Je, mikataba inasemaje kuhusu kusafirisha michanga nje ya nchi?

2) Hivi haya yanayoendelea kwenye hii nchi hasa katika masuala ya madini na rasilimali zetu hawa viongozi wa CCM waliopo walikuwa hawayajui?

3) Hivi ni Muhongo ndo alisaini hii mikataba ya madini na wawekezaji?

4) Aliesaini hii mikataba ya madini yupo nchini? Au alishatangulia mbele ya haki? Mi nadhani hapa mheshimiwa chonde chonde usimtoe huyu jamaa.

Suluhisho la hii wizara, na chanzo chote cha yanayotokea ni ubovu wa mikataba iliyopo. Nadhani turudi kwenye tatizo bila kumwajibisha yeyote.

Tuache Umusoma au Upoti Wetu ( kutokea Mkoani Mara ) Mkuu ila nadhani kama kuna Waziri ambaye madudu yake mengi yalikuwa yakionekana wazi na Watu wakamsema mno na bado Rais aliweza kumvumilia basi ni huyu Poti Wetu Professor Sospeter Muhongo na nadhani hata Rais alitaka kuzidi kumbeba au kumvumilia lakini Malaika wa Mbinguni wakamwambia hapana. Hata hivyo kwa Elimu kubwa na exposure kubwa aliyonayo Muhongo sidhani kama atakosa ulaji sehemu zingine hivyo hatuna budi kumtakia tu Kila la kheri japo Rais na sisi Watanzania tulimwamini mno ila ametuangusha.
 
Nimefatilia hili sakata la mchanga na ripoti iliyotolewa.

Nina maswali mengi sana ya kujiuliza;

1) Kwani Muhongo akitoka ndo suluhisho la kutoibiwa rasilimali zetu? Je, mikataba inasemaje kuhusu kusafirisha michanga nje ya nchi?

2) Hivi haya yanayoendelea kwenye hii nchi hasa katika masuala ya madini na rasilimali zetu hawa viongozi wa CCM waliopo walikuwa hawayajui?

3) Hivi ni Muhongo ndo alisaini hii mikataba ya madini na wawekezaji?

4) Aliesaini hii mikataba ya madini yupo nchini? Au alishatangulia mbele ya haki? Mi nadhani hapa mheshimiwa chonde chonde usimtoe huyu jamaa.

Suluhisho la hii wizara, na chanzo chote cha yanayotokea ni ubovu wa mikataba iliyopo. Nadhani turudi kwenye tatizo bila kumwajibisha yeyote.
Yaliyofanywa TMAA pia tunasingizia mikataba?!
Halafu kwenye ili la kuzuia makontena ya michanga inaoneka Muhongo hakuliunga mkono kama ilivyo la flow meter.
 
mitanzania bwana,mmeanza sasa kwahiyo mnatafuta hoja za kumkinga mhongo,hii nchi kuna baadhi yetu inatakiwa tupimwe akili
Tatizo sio kupimwa akili..!! Tatizo ni uhalisia wa mikataba iliyopo kwenye madini..! Prof ulitaka aibadilishe yeye?
 
Back
Top Bottom