Wanajamvi Hivi kwa matukio yaliyotokea ya milipuko ya mabomu yanayohusiswa na jeshi la polisi huko Arusha jmosi, ukizingatia jumuiya ya kimataifa inajua kinachoendelea, Je rais JK bado anao uwezo wa kusuluhisha migogoro ya nchi jirani?
Na je bado ana moral authoriy kuwashauri wanyaRwanda Waganda na Wakongo wakae meza moja na wapinzani wao kwa suluhu ya amani?
Na je bado ana moral authoriy kuwashauri wanyaRwanda Waganda na Wakongo wakae meza moja na wapinzani wao kwa suluhu ya amani?