Kwa haya sikubaliani na Tundu Lissu

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
596
307
Tundu Lissu ni mbunge mahiri sana tena utapenda competence yake pale kwenye mijadala ya sheria au haki za binadamu. Mswaada wa uendeshaji wa mahakama uliyopelekwa bungeni siku ya jumamosi alionyesha umahiri wake kwenye nyanja ya sheria. Yote nilimuunnga mkono na Werema na Celine Kombani walimbania tu kutofanya marekebisho ili mradi wasionekane wamekurupuka kupeleka ule mswaada. ILA mambo mawili hata mimi sikuyakubali.

1. Chief Court Administrator kuwa na taaluma ya sheria. Hili ni sahihi kabisa kama added advantage na siyo kuliweka kwenye sheria ili lipitishwe na bunge. Kwenye Administration ya mahakama law implication ni sehemu ndogo sana hivyo haiwezi kuwa core qualifications za Chief Court Administrator.

2. Budget ya mahakama itolewe kulingana na matakwa ya mahakama. This is absolutely wrong kuingia kwenye sheria. Hapa Tundu alikuwa na maana kiasi cha fedha watakacho omba basi wapewe kama kilivyo. Pillars zote ni muhimu sasa why mahakama wao ndio wapate budget allocation as per their budget.
 
Tundu Lissu ni mbunge mahiri sana tena utapenda competence yake pale kwenye mijadala ya sheria au haki za binadamu. Mswaada wa uendeshaji wa mahakama uliyopelekwa bungeni siku ya jumamosi alionyesha umahiri wake kwenye nyanja ya sheria. Yote nilimuunnga mkono na Werema na Celine Kombani walimbania tu kutofanya marekebisho ili mradi wasionekane wamekurupuka kupeleka ule mswaada. ILA mambo mawili hata mimi sikuyakubali.

1. Chief Court Administrator kuwa na taaluma ya sheria. Hili ni sahihi kabisa kama added advantage na siyo kuliweka kwenye sheria ili lipitishwe na bunge. Kwenye Administration ya mahakama law implication ni sehemu ndogo sana hivyo haiwezi kuwa core qualifications za Chief Court Administrator.

2. Budget ya mahakama itolewe kulingana na matakwa ya mahakama. This is absolutely wrong kuingia kwenye sheria. Hapa Tundu alikuwa na maana kiasi cha fedha watakacho omba basi wapewe kama kilivyo. Pillars zote ni muhimu sasa why mahakama wao ndio wapate budget allocation as per their budget.

Hapa tukisema jamaaa ni mkurupukaji, watu wanakuja juu na kuporomosha maneno yasiyo na busara
 
Not enough don't bother to understand people like " genius brain" they are Not mature enough to understand learned points like the one you raised! kwa hiyo achana nae ye ndio mkurupukaji! ni malaria sugu huyu umemsahau!
 
Not enough don't bother to understand people like " genius brain" they are Not mature enough to understand learned points like the one you raised! kwa hiyo achana nae ye ndio mkurupukaji! ni malaria sugu huyu umemsahau!

Asante ndugu ndio maana nikamwita POOR BRAIN and not Genius Brain, na sijui watu kama hawa wanatoka wapi humu JF.
 
tundu lissu ni mbunge mahiri sana tena utapenda competence yake pale kwenye mijadala ya sheria au haki za binadamu. Mswaada wa uendeshaji wa mahakama uliyopelekwa bungeni siku ya jumamosi alionyesha umahiri wake kwenye nyanja ya sheria. Yote nilimuunnga mkono na werema na celine kombani walimbania tu kutofanya marekebisho ili mradi wasionekane wamekurupuka kupeleka ule mswaada. Ila mambo mawili hata mimi sikuyakubali.

1. Chief court administrator kuwa na taaluma ya sheria. Hili ni sahihi kabisa kama added advantage na siyo kuliweka kwenye sheria ili lipitishwe na bunge. Kwenye administration ya mahakama law implication ni sehemu ndogo sana hivyo haiwezi kuwa core qualifications za chief court administrator.

2. Budget ya mahakama itolewe kulingana na matakwa ya mahakama. This is absolutely wrong kuingia kwenye sheria. Hapa tundu alikuwa na maana kiasi cha fedha watakacho omba basi wapewe kama kilivyo. Pillars zote ni muhimu sasa why mahakama wao ndio wapate budget allocation as per their budget.

sikuelewi hata chembe!
 
na mimi napingana na wewe

I believe in opposite of what you just said

mnataka accountability na transparency and thats the small price you have to pay
 
Tundu Lissu ni mbunge mahiri sana tena utapenda competence yake pale kwenye mijadala ya sheria au haki za binadamu. Mswaada wa uendeshaji wa mahakama uliyopelekwa bungeni siku ya jumamosi alionyesha umahiri wake kwenye nyanja ya sheria. Yote nilimuunnga mkono na Werema na Celine Kombani walimbania tu kutofanya marekebisho ili mradi wasionekane wamekurupuka kupeleka ule mswaada. ILA mambo mawili hata mimi sikuyakubali.

1. Chief Court Administrator kuwa na taaluma ya sheria. Hili ni sahihi kabisa kama added advantage na siyo kuliweka kwenye sheria ili lipitishwe na bunge. Kwenye Administration ya mahakama law implication ni sehemu ndogo sana hivyo haiwezi kuwa core qualifications za Chief Court Administrator.

2. Budget ya mahakama itolewe kulingana na matakwa ya mahakama. This is absolutely wrong kuingia kwenye sheria. Hapa Tundu alikuwa na maana kiasi cha fedha watakacho omba basi wapewe kama kilivyo. Pillars zote ni muhimu sasa why mahakama wao ndio wapate budget allocation as per their budget.

Huwezi kuchanganya politicians na mahakama katika nchi inayoamini misingi ya utawala wa sheria. Ucha ushabiki wewe.
 
Only Fools like GeniusBrain can disagree with this fact that Tundu Lissu is a unique MP in our Bunge.

President Kiwete knows that. During Presidential campaign in Singida East,the constituency to which Lissu represents in Parliament Kiwete warned that Lissu must be stopped at any cost from winning the Singida East MP seat.

That it was better to have 10 Slaas in Parliament than having 1 Lissu in the same! These words came from the mouth of your fake president who won the election through the back door. Kiwete your President said these words because he knows the intelligent element and smartness in Tundu Lissu when it comes to issues related to Laws.

But here you Genius/Poor Brain you're challenging your own President that Lissu is nothing!

I remember one novel by Mario Puzo titled:The FOOLS DIE. So is Geniusmimavi!
 
Kama hii MIHIMILI in haki sawa, kila mhimili upewe mgao wake wa bugdet wajipangie wenyewe watakavyo endesha mambo yao na siyo kuomba Serikalini! Hazina ndo iwe ina toa mgao kwa uianao wa majukumu kwa kila mhimili wa dola. La sivyo lawama hazita kwisha.
 
Back
Top Bottom