NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Tundu Lissu ni mbunge mahiri sana tena utapenda competence yake pale kwenye mijadala ya sheria au haki za binadamu. Mswaada wa uendeshaji wa mahakama uliyopelekwa bungeni siku ya jumamosi alionyesha umahiri wake kwenye nyanja ya sheria. Yote nilimuunnga mkono na Werema na Celine Kombani walimbania tu kutofanya marekebisho ili mradi wasionekane wamekurupuka kupeleka ule mswaada. ILA mambo mawili hata mimi sikuyakubali.
1. Chief Court Administrator kuwa na taaluma ya sheria. Hili ni sahihi kabisa kama added advantage na siyo kuliweka kwenye sheria ili lipitishwe na bunge. Kwenye Administration ya mahakama law implication ni sehemu ndogo sana hivyo haiwezi kuwa core qualifications za Chief Court Administrator.
2. Budget ya mahakama itolewe kulingana na matakwa ya mahakama. This is absolutely wrong kuingia kwenye sheria. Hapa Tundu alikuwa na maana kiasi cha fedha watakacho omba basi wapewe kama kilivyo. Pillars zote ni muhimu sasa why mahakama wao ndio wapate budget allocation as per their budget.
1. Chief Court Administrator kuwa na taaluma ya sheria. Hili ni sahihi kabisa kama added advantage na siyo kuliweka kwenye sheria ili lipitishwe na bunge. Kwenye Administration ya mahakama law implication ni sehemu ndogo sana hivyo haiwezi kuwa core qualifications za Chief Court Administrator.
2. Budget ya mahakama itolewe kulingana na matakwa ya mahakama. This is absolutely wrong kuingia kwenye sheria. Hapa Tundu alikuwa na maana kiasi cha fedha watakacho omba basi wapewe kama kilivyo. Pillars zote ni muhimu sasa why mahakama wao ndio wapate budget allocation as per their budget.