Umeona nini mkuu? Tuwekee hapa na sisi tuoneKwa hizi taarifa za uteuzi wa wagombea wa serikali zinazowekwa twitter ni dhahiri uchaguzi umevurugika kwa kiwango kikubwa.
Kwa nini CCM ikubali jambo hili litokee?Hivi ni kweli hawajui madhara yake?
mkuu ccm tumeiua , hivi sasa tunapambana na polisi tuKwa hizi taarifa za uteuzi wa wagombea wa serikali zinazowekwa twitter ni dhahiri uchaguzi umevurugika kwa kiwango kikubwa.
Kwa nini CCM ikubali jambo hili litokee?Hivi ni kweli hawajui madhara yake?
Kwa hizi taarifa za uteuzi wa wagombea wa serikali zinazowekwa twitter ni dhahiri uchaguzi umevurugika kwa kiwango kikubwa.
Kwa nini CCM ikubali jambo hili litokee?Hivi ni kweli hawajui madhara yake?
Hongera mkuu...Hahaha wabunge wa Chadomo wamegeuza twitter jukwaa la siasa
Huku wanaume wako field kwa wanachi.
Tutawafurahisha; binafsi nasubiri majibu kwa jiji la DSM
Mmepigwa mapema subilini 2020 ndio mtajua baba yenu ni CCM
State agent
Waache wafanye watakavyo nchi ikivurugika wasije kumtafuta mchawi ni nani wakati wao wanafuata maelekezo ya " Khadija Mwenda".Kwa hizi taarifa za uteuzi wa wagombea wa serikali zinazowekwa twitter ni dhahiri uchaguzi umevurugika kwa kiwango kikubwa.
Kwa nini CCM ikubali jambo hili litokee?Hivi ni kweli hawajui madhara yake?