Mara nyingi sisi watumishi wa Mungu tunaponena jambo badala mtusikilizie basi mnajikita kutuangalia Kaliba zetu, kwamba we mtu uliyekuwa hujasoma utaniambia nini, mtu mwenye maskini tu unachakumshauri mtu anaye kuzidi kipato au mamlaka?
Sasa ni hivi ktk purukushani za siasa hasa hapa Afrika na Tanzania wale wanaotaka madaraka wanaweza kuhakikisha wanayapata kwa njia yoyote ile. Iwe kwa uganga au kwa kafara.
Kitabu cha Pili cha Nabii Samweli sura ya pilie kinaeleza haya yapata miaka 1200B.C kipindi ambacho Yoabu Jemedali wa Jeshi la Israel alilikuwa ktk mchakato wa kimya kimya kuchukua madaraka.
Huyu Mwamba alimuua Mtoto wa Daudi Wa Kwanza Kuzaliwa Absalome( sio kibanda).
Yoabu hakuishua hapo akamuua na Abneri mwana wa Neri aliyekuwa kiongozi wa Upinzani wakati huo.
Mungu na Mfalme Daudi akawalaani. Sehmu ya laani hiyo kama ifuatavyo, na nukuu
"Lawama ya mauaji hayo yawe juu ya kichwa cha Yoabu na jamaa yote ya baba yake! Jamaa ya Yoabu daima isikose mtu mwenye ugonjwa wa kisonono, au ugonjwa wa ukoma, au anayetembea kwa magogo au kuuawa kwa upanga, au mwenye kukosa chakula!” Yoabu na ndugu yake Abishai walimuua Abneri"
UCHAMBUZI WA LAANA
1. Tunaona Yoabu na ukoo wake woote wakilaaniwa magonjwa ya Ukoma yaani magonjwa sugu kama Moyo, figo, kisukari, presha, Inni yasiyotibika.
2. Kisonono hii huwakilisha maginjwa ya kuambukiza kama vile Ukimwi, Kisonono, Corona.
3. Ulemavu, hapa wanalaaniwa jama na ndugu wale mnaoshare damu, vitu ka.a Stroke, ajali na kupalalaizi vitawapata wewe mwenyewe au ndugu yako au ktk uzao wako.
4. mwenye kukosa Chakula kama vile ukame, au unasikia mzigo wako wa biashara ulikuwa unatoka china meli imezana n.k.
Tumeyaona tuliyoyaona. Tujifunze tuepushe vizazi vyetu laana za milele.
Sasa ni hivi ktk purukushani za siasa hasa hapa Afrika na Tanzania wale wanaotaka madaraka wanaweza kuhakikisha wanayapata kwa njia yoyote ile. Iwe kwa uganga au kwa kafara.
Kitabu cha Pili cha Nabii Samweli sura ya pilie kinaeleza haya yapata miaka 1200B.C kipindi ambacho Yoabu Jemedali wa Jeshi la Israel alilikuwa ktk mchakato wa kimya kimya kuchukua madaraka.
Huyu Mwamba alimuua Mtoto wa Daudi Wa Kwanza Kuzaliwa Absalome( sio kibanda).
Yoabu hakuishua hapo akamuua na Abneri mwana wa Neri aliyekuwa kiongozi wa Upinzani wakati huo.
Mungu na Mfalme Daudi akawalaani. Sehmu ya laani hiyo kama ifuatavyo, na nukuu
"Lawama ya mauaji hayo yawe juu ya kichwa cha Yoabu na jamaa yote ya baba yake! Jamaa ya Yoabu daima isikose mtu mwenye ugonjwa wa kisonono, au ugonjwa wa ukoma, au anayetembea kwa magogo au kuuawa kwa upanga, au mwenye kukosa chakula!” Yoabu na ndugu yake Abishai walimuua Abneri"
UCHAMBUZI WA LAANA
1. Tunaona Yoabu na ukoo wake woote wakilaaniwa magonjwa ya Ukoma yaani magonjwa sugu kama Moyo, figo, kisukari, presha, Inni yasiyotibika.
2. Kisonono hii huwakilisha maginjwa ya kuambukiza kama vile Ukimwi, Kisonono, Corona.
3. Ulemavu, hapa wanalaaniwa jama na ndugu wale mnaoshare damu, vitu ka.a Stroke, ajali na kupalalaizi vitawapata wewe mwenyewe au ndugu yako au ktk uzao wako.
4. mwenye kukosa Chakula kama vile ukame, au unasikia mzigo wako wa biashara ulikuwa unatoka china meli imezana n.k.
Tumeyaona tuliyoyaona. Tujifunze tuepushe vizazi vyetu laana za milele.