Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,355
- 11,500
Simba mtalia sana mwaka huu.. Mtalia kinyama .. Mtalia ndani mtalia nje. Mtalia ofisini mtalia nyumbani. Kifupi mwaka huu hadi ujao mtakuwa wakiwa sana. Mtakuwa wanyonge shambani mtakuwa wanyonge sokoni.. Mtakuwa wanyonge nyumbani mtakuwa wanyonge kazini.. Mtakuwa wanyonge barabarani mtakuwa wanyonge vichochoroni. Yaani mtanyongeka kinyama. Siyo kidogo.
Yanga tunaanza kwa mbwembwe. Tunachukua ngao ya jamii. Then tunaanza kukaa pale juu kileleni kwenye ligi. Kwa kushinda match ya kwanza bao za kutosha tu. Hapo ndo msahau. Simba na azam mtagombea nafasi ya pili.... Hamna chenu tena mwaka huu. Hii team ina mikakati ya hali ya juu sana . Nasema nyie acheni tu mtanyongeka kinyama... Ndo mjue hili ni bonge la team. Na mtaumia kinyama maana tunapiga mguu ndani tunapiga mguu nje. Yaani ni mwendo wa kusambaza vipigo tu.
Nasema hivi kama tarehe 13/08 tusipomfunga simba nipewe ban ya siku 7.
Yanga tunaanza kwa mbwembwe. Tunachukua ngao ya jamii. Then tunaanza kukaa pale juu kileleni kwenye ligi. Kwa kushinda match ya kwanza bao za kutosha tu. Hapo ndo msahau. Simba na azam mtagombea nafasi ya pili.... Hamna chenu tena mwaka huu. Hii team ina mikakati ya hali ya juu sana . Nasema nyie acheni tu mtanyongeka kinyama... Ndo mjue hili ni bonge la team. Na mtaumia kinyama maana tunapiga mguu ndani tunapiga mguu nje. Yaani ni mwendo wa kusambaza vipigo tu.
Nasema hivi kama tarehe 13/08 tusipomfunga simba nipewe ban ya siku 7.