johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Nimefuatilia ziara ya Naibu waziri Silinde wa Tamisemi na hasa mkoani Mtwara, kwa kweli madudu ni mengi sana.
Najiuliza tu mbona waziri Jafo alikuwa anatamba sana kwa kujenga madarasa na zahanati kwa kutumia fedha za ndani, kumbe zilikuwa mbwembwe tu.
Huyu Silinde akiendelea hivi na huu ujasiri bila shaka atakuwa waziri kamili soon.
Maendeleo hayana vyama!
Najiuliza tu mbona waziri Jafo alikuwa anatamba sana kwa kujenga madarasa na zahanati kwa kutumia fedha za ndani, kumbe zilikuwa mbwembwe tu.
Huyu Silinde akiendelea hivi na huu ujasiri bila shaka atakuwa waziri kamili soon.
Maendeleo hayana vyama!