Kwa hatua tuliyokuwa tumefikia, kumpata Rais Magufuli ni zawadi tosha toka kwa Mungu

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wanabodi,

Kwanza kabisa niseme hivi "Binadamu hawanaga shukrani" na pia kuna usemi usemao "shukrani ya punda mateke". Hi mi misemo ya wanna ambayo sasa tunaona ukweli uliopo.

Huko nyuma nchi ilikuwa inatafunwa sana na watu wachache, kila kitu kilikuwa cha dili au genji. Watu wanyonge hawakuwa na nafasi kabisa ndani ya nchi yao, watu walikuwa wanaishi kama wakimbizi.

Mikataba hovyo ya rasilimali, viongozi wa Serikali kila siku wanapishana angani wakitanua huko duniani, kuna wengine mpk walikuwa wanafasiri na mahawara zao ughaibuni. Kula tu bata. Mawaziri walikuwaga wababe sana,kila kitu anajua!

Rais hasafiri ovyo, Rais katumbua bila kuangalia sura, Rais kathibiti safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma, maswala ya vyeti feki na watumishi hewa nk nk.

Tunataka Rais wetu awe malaika jamani? Hatuoni juhudi zote anazofanya jamani? Mbona amejitahidi sana kupambana na ufisadi na ametumbua sana wazembe bila kujali sura ya mtu? Kuna miradi mikubwa inaendelea.

Tupo kwenye kipindi cha mpito kwahiyo lazima tuone kama anatukomesha, ukweli siyo hivyo! President anaipenda nchi na mnaweza kuthibitisha hili kwa kulinganisha na huko nyuma.
 
Wanabodi, kwanza kabisa niseme hivi "Binadamu hawanaga shukrani" na pia kuna usemi usemao "shukrani ya punda mateke". Hi mi misemo ya wanna ambayo sasa tunaona ukweli uliopo.

Huko nyuma nchi ilikuwa inatafunwa sana na watu wachache, kila kitu kilikuwa cha dili au genji. Watu wanyonge hawakuwa na nafasi kabisa ndani ya nchi yao, watu walikuwa wanaishi kama wakimbizi.

Mikataba hovyo ya rasilimali, viongozi wa Serikali kila siku wanapishana angani wakitanua huko duniani, kuna wengine mpk walikuwa wanafasiri na mahawara zao ughaibuni. Kula tu bata. Mawaziri walikuwaga wababe sana,kila kitu anajua!

Rais hasafiri ovyo, Rais katumbua bila kuangalia sura, Rais kathibiti safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma, maswala ya vyeti feki na watumishi hewa nk nk.

Tunataka Rais wetu awe malaika jamani? Hatuoni juhudi zote anazofanya jamani? Mbona amejitahidi sana kupambana na ufisadi na ametumbua sana wazembe bila kujali sura ya mtu? Kuna miradi mikubwa inaendelea.

Tupo kwenye kipindi cha mpito kwahiyo lazima tuone kama anatukomesha,ukweli siyo hivyo! President anaipenda nchi na mnaweza kuthibitisha hili kwa kulinganisha na huko nyuma.
Umetumwaaa
 
Magufuli ni populist. Hamnaga populist kaendeleza nchi. Wanafanya vile watu wa chini wanataka; sio vile uchumi unatakiwa ukue. Popular decisions zinafurahisha wananchi but sio sometimes zinaumiza growth ya economy
 
Wanabodi, kwanza kabisa niseme hivi "Binadamu hawanaga shukrani" na pia kuna usemi usemao "shukrani ya punda mateke". Hi mi misemo ya wanna ambayo sasa tunaona ukweli uliopo.

Huko nyuma nchi ilikuwa inatafunwa sana na watu wachache, kila kitu kilikuwa cha dili au genji. Watu wanyonge hawakuwa na nafasi kabisa ndani ya nchi yao, watu walikuwa wanaishi kama wakimbizi.

Mikataba hovyo ya rasilimali, viongozi wa Serikali kila siku wanapishana angani wakitanua huko duniani, kuna wengine mpk walikuwa wanafasiri na mahawara zao ughaibuni. Kula tu bata. Mawaziri walikuwaga wababe sana,kila kitu anajua!

Rais hasafiri ovyo, Rais katumbua bila kuangalia sura, Rais kathibiti safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma, maswala ya vyeti feki na watumishi hewa nk nk.

Tunataka Rais wetu awe malaika jamani? Hatuoni juhudi zote anazofanya jamani? Mbona amejitahidi sana kupambana na ufisadi na ametumbua sana wazembe bila kujali sura ya mtu? Kuna miradi mikubwa inaendelea.

Tupo kwenye kipindi cha mpito kwahiyo lazima tuone kama anatukomesha,ukweli siyo hivyo! President anaipenda nchi na mnaweza kuthibitisha hili kwa kulinganisha na huko nyuma.
Mkuu umesahau msemo mmoja kwamba nabii hakubaliki kwao. Hatuoni mazuri ya rais Magufuli kwa sababu tunae. Nakumbuka wakati Mwalimu yu hai hali kama hii ilijitojeza. Vijana wa Jana wanajua na tulimpachika majina mengi tu kama vile mchonga meno, haambiliki, Musa, na kadhalika na kadhalika. Miaka michache baadae wale waliokuwa wanamkejeli Mwl baada ya kutafakari na kujitambua ghafla wakagundua usio wa ukawaida wake.
The same case applies to our current president. We have him, tunamuona haambiliki, miss, mchonga meno. Wakati utafika sisi wazee wa kesho tutakapokuwa tunawaelezea wajukuu zetu uzuri wa rais Magufuli jinsi alivyoweza kubadilisha thinking ya watu kutoka kuwa wapiga dili na kuanza kuuona ukweli kwamba kazi ndio mpango mzima katika kuwaletea watu maendeleo yao. Tutamkumbuka kwa kuwa na udhubutu ambao waliomtangulia hawakuwa nao, kwamba alikuwa rais ambake alipochukuwa agenda za upinzani na kuzifanyia kazi kwa vitendo wapinzani wake wakaita hali hiyo ni udictator, muda utaongea.
Wakati wenzetu wanamtamani aende kwenye nchi zao angalau kwa wiki mmoja tu sisi tunamuona kero, kwa nini, kwa sababu tunae, nabii hakubaliki kwao.
 
Usimsingizie Mungu kutuletea huyu dikteta uchwara aliyejaa dharau za hali ya juu, asiyeheshimu katiba na sheria za nchi, aliyejaa chuki za kutisha na vitisho vya hali ya juu.

Wanabodi, kwanza kabisa niseme hivi "Binadamu hawanaga shukrani" na pia kuna usemi usemao "shukrani ya punda mateke". Hi mi misemo ya wanna ambayo sasa tunaona ukweli uliopo.

Huko nyuma nchi ilikuwa inatafunwa sana na watu wachache, kila kitu kilikuwa cha dili au genji. Watu wanyonge hawakuwa na nafasi kabisa ndani ya nchi yao, watu walikuwa wanaishi kama wakimbizi.

Mikataba hovyo ya rasilimali, viongozi wa Serikali kila siku wanapishana angani wakitanua huko duniani, kuna wengine mpk walikuwa wanafasiri na mahawara zao ughaibuni. Kula tu bata. Mawaziri walikuwaga wababe sana,kila kitu anajua!

Rais hasafiri ovyo, Rais katumbua bila kuangalia sura, Rais kathibiti safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma, maswala ya vyeti feki na watumishi hewa nk nk.

Tunataka Rais wetu awe malaika jamani? Hatuoni juhudi zote anazofanya jamani? Mbona amejitahidi sana kupambana na ufisadi na ametumbua sana wazembe bila kujali sura ya mtu? Kuna miradi mikubwa inaendelea.

Tupo kwenye kipindi cha mpito kwahiyo lazima tuone kama anatukomesha,ukweli siyo hivyo! President anaipenda nchi na mnaweza kuthibitisha hili kwa kulinganisha na huko nyuma.
 
Usimsingizie Mungu kutuletea huyu dikteta uchwara aliyejaa dharau za hali ya juu, asiyeheshimu katiba na sheria za nchi, aliyejaa chuki za kutisha na vitisho vya hali ya juu.
Mkuu kwa jinsi ninavyo mfahamu Sizonje, sitaona ajabu kuwa anaweza kuwa kafungua (yeye mwenyewe) ID nyingi hapa JF ili ajisifie. Mtu mpenda sifa sijapata kuona nchi hii. Na hilo ndio tatizo lake kuu,sifa.
Na makosa makubwa yanayofanyika ni kumsingizia Mungu katika matendo yake, Mungu gani mwenye chuki, wivu na husuda? Mungu ana kiburi? Mungu yupo pamoja na wanyenyekevu na wenye upendo. Mungu anataka viongozi waheshimu sheria zilizopo na sio utawala kama wa Nebukadneza.
Sasa kama wanamtaja Mungu kuwa ndiye anamtuma atende hayo afanyayo kwa kumsingizia basi atatenda tuu kuonyesha kuwa hataki dhihaka. Time will tell.
 
hakuna kosa kubwa kwa kiongozi yeyote yule kama kuvunja katiba aliyoapa kuilinda kamwe. hata kama kiongozi huyo angekuwa mzuri kama theluji hatufai.
 
Kuna kipindi nilidhani maneno kama haya hutolewa na wasanii wa nyimbo ili kuburudisha tu. Hivi kumbe haya mawazo kuna watu wanayo mioyoni kabisa? Inahuzunisha!
Mkuu inahuzunisha Mnooo..

Maneno kama haya kutoka kwa ordinary person inatia kinyaa..

Maana yake ni moja either wajinga bado ni wengi sana au wengi wanaoleta hoja za hivi wanatumika (BUKU 7 FC)
 
Wanabodi, kwanza kabisa niseme hivi "Binadamu hawanaga shukrani" na pia kuna usemi usemao "shukrani ya punda mateke". Hi mi misemo ya wanna ambayo sasa tunaona ukweli uliopo.

Huko nyuma nchi ilikuwa inatafunwa sana na watu wachache, kila kitu kilikuwa cha dili au genji. Watu wanyonge hawakuwa na nafasi kabisa ndani ya nchi yao, watu walikuwa wanaishi kama wakimbizi.

Mikataba hovyo ya rasilimali, viongozi wa Serikali kila siku wanapishana angani wakitanua huko duniani, kuna wengine mpk walikuwa wanafasiri na mahawara zao ughaibuni. Kula tu bata. Mawaziri walikuwaga wababe sana,kila kitu anajua!

Rais hasafiri ovyo, Rais katumbua bila kuangalia sura, Rais kathibiti safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma, maswala ya vyeti feki na watumishi hewa nk nk.

Tunataka Rais wetu awe malaika jamani? Hatuoni juhudi zote anazofanya jamani? Mbona amejitahidi sana kupambana na ufisadi na ametumbua sana wazembe bila kujali sura ya mtu? Kuna miradi mikubwa inaendelea.

Tupo kwenye kipindi cha mpito kwahiyo lazima tuone kama anatukomesha,ukweli siyo hivyo! President anaipenda nchi na mnaweza kuthibitisha hili kwa kulinganisha na huko nyuma.
Zawadi za kibwegebwege hizi kmamsifie mkeo/mumeo
 
Bado uteuzi upo. Kuna nafasi ya DC.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom