Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,124
Hi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa saloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa saloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.