Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
nimeshtushwa na Michango ya Mbunge wetu wa Mafia kuhusu mustakabali wa kisiwachetu.Baada ya kulilia katiba mpya itayotuwezesha watu waMafia Kutumia Raslimali zetu za Uvuvi ambazo kila kukicha tunanyangwa na Watu wanaojiita Hifadhi ya bahari kwa mtutu wa bunduki ,katiba mpya kuhusu Sekta ya Elimu kwa watoto wa kimaskini.kujikita ktk kilimo cha kisiasa.Mbunge wetu alijikta eti katikamchakato waKatiba mpya kumshambuliaMzee wa Kipima joto wa ITV eti anapanga watu kupiga simu kuishambulia CCM.Kweli Bulj anaipenda CCM kuliko Kingunge?Nadhani ni wakati