Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Najiuliza swali hili huku nikikumbuka kuwa kuanzia spika na wabunge wengi ,hasa wa chama tawala,wameshindwa kwenda kumuona Lissu aliekuwa amelazwa katika hospitali ya Nairobi n hini Kenya.
Sababu ya wao kutokwenda kumjulia hali mimi siilewi lakini hapo hapo napata swali kama kweli Bunge hili linaweza kuunda kamati ya namna hiyo.
Na hata kamati ya namna hiyo ikiundwa, kweli itakuwa huru kufanya kazi yake?
Yangu macho na masikio.
Naomba niishie hapa natumai nitakuwa nimeeleweka.
Sababu ya wao kutokwenda kumjulia hali mimi siilewi lakini hapo hapo napata swali kama kweli Bunge hili linaweza kuunda kamati ya namna hiyo.
Na hata kamati ya namna hiyo ikiundwa, kweli itakuwa huru kufanya kazi yake?
Yangu macho na masikio.
Naomba niishie hapa natumai nitakuwa nimeeleweka.