kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Nawaza tu kwa uchumi wetu kwa sasa unavyopumulia mashine ICU halaf itokee tupigwe vikwazo kwa sababu ya huyu dikteta one month tutakua tumekwisha aisee
Haki nawaambia UN au USA na UK wakiamua kufuatilia mienendo ya huu utawala hautasurvive hata week 2 vikwazo kwa muda wa week mbili tu nchi ingekua maiti hii...maana moyo wa nchi ambao ni uchumi ungekufa
Tusiyaombee yatokee
Ila huyu dikteta uchwara na bashite na ole sabaya na musiba watu km hawa wanaweza kuipeleka nchi yetu kwenye international sanctions
Haki nawaambia UN au USA na UK wakiamua kufuatilia mienendo ya huu utawala hautasurvive hata week 2 vikwazo kwa muda wa week mbili tu nchi ingekua maiti hii...maana moyo wa nchi ambao ni uchumi ungekufa
Tusiyaombee yatokee
Ila huyu dikteta uchwara na bashite na ole sabaya na musiba watu km hawa wanaweza kuipeleka nchi yetu kwenye international sanctions