Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Africa nadhani ndio makazi ya SHETANI wa UJINGA, ROHO MBAYA, UKATILI na UBINAFSI. Tuombe tu Mungu China isiwe SUPER POWER !!!
Yaani Kwanza Congo asilimia karibia 90 ya vijana hawana Ajira, wengi wamebaki vibaka, nchi imevurugika, hakuna msimamizi kila mtu amechoka. At least US anawatishia hawa madikteta na anawapa masharti ya Haki za binadamu ili kupata misaada.
Yaani madereva wa malori ukipita na roli lako unakimbizwa na vijana wanaoteseka kwa njaa unatishiwa au hata kupondwa mawe kwenye kioo cha gari ilimradi uwape chochote na polisi wanawaona hawawafanyi chochote.
Maeneo mengi Maji hata ya kuoga hakuna mtu anapanda juu ya jengo akimwaga mara ya kwanza mnapaka sabuni, akimwaga mara ya pili ndo unajissuuza hivyo. na ukimaliza unalipia.
Migodi karibu yote ( Ya Manganese, Copper. Dhahabu etc ) wamepewa wachina na wahindi wanachimba balaaaaaaaaaaa, na wakati mwingine mnaweza kuwa mgodini kambini masikia huko nje mshavamiwa na waasi wanamimina risasi kama MAJI dege linakuja maboss wanakwea wanasepea kutokea ndani, Yaani wnachimba madini watakavyo maana wanasema wanafanya kazi katika mazingira magumu.
Nadhani na sisi tuendelee kucheka na kuunga mkono, ipo siku tutajikuta wote tumefungwa mikono, migu, midomo, mioyo hata KEYBOARD WARRIORS hautakuwepo tena.
==========================
1. Viongozi wa upinazi tangu mwaka 2015 wana kesi mahakamani zisizoisha .
2. Vijana hawana aijra tangu 2015
3.Watu wanapotea kikatili wala hakuna anaehoji, hata wachungaji na viongozi wa dini wengine wanaendelea kuhubiri amani wala hata w=hawajali kinachotokea hata kama mtu akipigwa riasi nyuma ya nyumba yao hawaoni kama ni tatizo
4.Pesa zote mtu mmoja ndio anakaa nazo, ipo siku hata kula tu ni lazima tumpigie magoti maana ndie anaempa amtakae na anatengeneza matajiri awatakao
Pole Tanzania
Yaani Kwanza Congo asilimia karibia 90 ya vijana hawana Ajira, wengi wamebaki vibaka, nchi imevurugika, hakuna msimamizi kila mtu amechoka. At least US anawatishia hawa madikteta na anawapa masharti ya Haki za binadamu ili kupata misaada.
Yaani madereva wa malori ukipita na roli lako unakimbizwa na vijana wanaoteseka kwa njaa unatishiwa au hata kupondwa mawe kwenye kioo cha gari ilimradi uwape chochote na polisi wanawaona hawawafanyi chochote.
Maeneo mengi Maji hata ya kuoga hakuna mtu anapanda juu ya jengo akimwaga mara ya kwanza mnapaka sabuni, akimwaga mara ya pili ndo unajissuuza hivyo. na ukimaliza unalipia.
Migodi karibu yote ( Ya Manganese, Copper. Dhahabu etc ) wamepewa wachina na wahindi wanachimba balaaaaaaaaaaa, na wakati mwingine mnaweza kuwa mgodini kambini masikia huko nje mshavamiwa na waasi wanamimina risasi kama MAJI dege linakuja maboss wanakwea wanasepea kutokea ndani, Yaani wnachimba madini watakavyo maana wanasema wanafanya kazi katika mazingira magumu.
Nadhani na sisi tuendelee kucheka na kuunga mkono, ipo siku tutajikuta wote tumefungwa mikono, migu, midomo, mioyo hata KEYBOARD WARRIORS hautakuwepo tena.
==========================
1. Viongozi wa upinazi tangu mwaka 2015 wana kesi mahakamani zisizoisha .
2. Vijana hawana aijra tangu 2015
3.Watu wanapotea kikatili wala hakuna anaehoji, hata wachungaji na viongozi wa dini wengine wanaendelea kuhubiri amani wala hata w=hawajali kinachotokea hata kama mtu akipigwa riasi nyuma ya nyumba yao hawaoni kama ni tatizo
4.Pesa zote mtu mmoja ndio anakaa nazo, ipo siku hata kula tu ni lazima tumpigie magoti maana ndie anaempa amtakae na anatengeneza matajiri awatakao
Pole Tanzania