Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Siku hizi hamfanyi aisee zamani ilikuwa kabla ya kupima unapewa counselling ya maana na kabla ya kupewa majibu unafanyiwa counselling juzi nmeenda hospitali Dr kaniandikia tu kipimo cha HIV kama cha malaria vile simple bila hata kuniuliza kama niko tayari kupima

Sent using Jamii Forums mobile app
nilikutana na hali kama hiyo kwenye zahanati moja pale jiji la nairobi.

yule daktari mkenya hakuwa na simile katika masuala ya kupima ngoma.

alikuwa "strweti fowadi" katika kauli yake....no kubembelezana.

upime au ughairi ni juu yako.yeye wala hajari.
 
nilikutana na hali kama hiyo kwenye zahanati moja pale jiji la nairobi.

yule daktari mkenya hakuwa na simile katika masuala ya kupima ngoma.

alikuwa "strweti fowadi" katika kauli yake....no kubembelezana.

upime au ughairi ni juu yako.yeye wala hajari.
Hahaa hizo zama kumbe zimeshapita...siku hizi ukimwi kama typhoid tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kijana mmoja msomi hapa mtaani kwetu alipata fursa ya kwenda kufanya kazi kwenye kiwanda kimoja kikubwa nchini marekani, baada ya kufanya maandalizi ya kwenda safari yake alilazimika kufanyiwa vipimo vya afya ikiwemo HIV test.

Alipopimwa alikutwa Positive, ni takribani mwezi sasa tangu apime kijana huyo ambaye alikuwa ni handsome kwa muonekano wa mwili wake kwa sasa amekuwa zaidi ya babu kizee, amekonda amebaki mifupa na kutembea kwake kwa shida.

Nashindwa kuelewa ni kitu cha ghafla kilichompata kijana huyu mpaka kuwa na hali hiyo, anyway, na kwa niliyoyaona sitashawishika kupima Ukimwi bora tu niendelee kuishi kwa matumaini.

NB :Sishawishi wengine wasipime huo ni msimamo wangu tu.

Tupunguze uasharati jamani Ukimwi bado upo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimwi sio Ugonjwa na wala sio kitu cha kuogopa Tiba ninayo ukitaka Dawa ya Ukimwi nione kwa wakati wako.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
Kitu cha kwanza cha kuzingatia majibu yakiwa +ve ni kuwa nani unashare nae hiyo information. Wengi wanapanic na kuanza kutafuta huruma kwa watu matokeo yake unakuwa gumzo kwenye jamii

Fikiria hiyo information iwe kama tooth paste ukishaitoa huwezi kuirudisha tena kwenye tube basi wanaopaswa kufahamu wawe wale wanaohitaji kujua
Ujumbe mzuri sana ongera sky

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi unachekesha aisee,,,, dada sky Eclat inakuwaje watu wameoana miaka hata mitano mmoja anakutwa kaathirika na mwingine hajaaathirika,huyu ambaae hajaathirika ana damu ipi hiyo,,maana usiniambie eti hawajahi kuchubuana

Na kuhusu homa ya ini chanjo inapatikanaje?watu tukapatae chanjo mapema Sky Eclat
Chanjo ya homa ya ini unaweza kuipata katika hospitali ya rufaa iliyo karibu na ww na utapewa chanjo kwa awamu tatu, ili kupata utajiandikisha kama mgonjwa wa kawaida utamuona daktari na kufanyiwa vipimo.
Gharama ya chanjo sidhani kama inapungua 60000
 
Mwezi wa tano niliumwa kiasi nilivoenda dispensary nikakutana na dactari akaniuliza uliza wee kisha akaniandikia nipime kama nna typhoid au Maralia, tena akaniuliza kama kuna kitu kingine nataka nipime nilimwambia nataka kupima H.I.V akaniangalia then akaandika kwenye daftari bila kuongea chochote, then akaniambia nenda kasubiri majibu, nilishangaa hata cancelling hakuna nikaanza kuwa na hofu, baadae majibu yalivokuwa tayari nikaitwa nikaambiwa status za magonjwa mengine nilisikiliza kwa makini lakini mawazo yangu yote hayakuwa katika magonjwa hayo.

Alipomaliza kunieleza kilichoonekana katika magonjwa hayo then akaja kwenye H.I.V, aisee jamaa nilishangaa ananiambia na hiki kipimo bila kutaja akanionyesha tu kwenye lile daftari akasenma hakina shida, akaishia hapo, then nikatoka ila nilikuwa na mawazo sana what if ningekuwa na shida afu huyu docta hata hakuandai kisaikolojia kupokea majibu.

Love is all what we need!
 
Back
Top Bottom