Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1stMay njoo piemu nna zawadi yakoHahaha best wanakuja kushtuka mda umeenda!! Acha waisome namba...wanatuona sisi washamba. Mi mwenyewe li man lisilojielewa natupa kule...stress for what. Maisha ni nipe nikupe.
Mwanzo 3:16-17 jitahidi usome utakuja kufuta mwenyewe hapaHello guys,
Msinielewe vibaya, sina nia ya kuwa marioo, kutunzwa na mwanamke, wala ku-date mijimama..ila kwa hii hali ya sasa, hawa wadada maskini wanani-cost na hii mizinga yao, halafu hawa-contribute chochote in my life, naona niki-date na wadada wakishua, hata kama niki-spend money on them, najua nikiwaoa kuna namna nitakavyo benefit.
Kuanzia sasa nikifikiria kutongoza mdada, ntamchunguza kwanza nione ana nini, maybe kazi nzuri, au ametoka kwenye familia tajiri, la sivyo I don't care how beautiful she is, au ana chura kubwa kiasi gani, sitowaza kumuoa kamwe, maana nitaoa hasara na hatonifaidisha chochote.
Baada ya kuona kila mdada ninaemtongoza ananiomba pesa, nimegundua kuwa mapenzi ni biashara, kama mapenzi ni biashara kwani kuna ubaya gani na mm niki-benefit kwenye hiyo biashara.
Poa manacha kudate na singo maza ndo solution..
Hello guys,
Msinielewe vibaya, sina nia ya kuwa marioo, kutunzwa na mwanamke, wala ku-date mijimama..ila kwa hii hali ya sasa, hawa wadada maskini wanani-cost na hii mizinga yao, halafu hawa-contribute chochote in my life, naona niki-date na wadada wakishua, hata kama niki-spend money on them, najua nikiwaoa kuna namna nitakavyo benefit.
Kuanzia sasa nikifikiria kutongoza mdada, ntamchunguza kwanza nione ana nini, maybe kazi nzuri, au ametoka kwenye familia tajiri, la sivyo I don't care how beautiful she is, au ana chura kubwa kiasi gani, sitowaza kumuoa kamwe, maana nitaoa hasara na hatonifaidisha chochote.
Baada ya kuona kila mdada ninaemtongoza ananiomba pesa, nimegundua kuwa mapenzi ni biashara, kama mapenzi ni biashara kwani kuna ubaya gani na mm niki-benefit kwenye hiyo biashara.
Hilo lipo wazi kabisa, haihitaji rocket science kulijuaKudate na manzi asiyejiweza inataka moyo sana. Unaweza jikuta unalea familia nzima
Nambie mzee wa Dubuly,vp mbona unataka kubadilishia gia angani?Hello guys,
Msinielewe vibaya, sina nia ya kuwa marioo, kutunzwa na mwanamke, wala ku-date mijimama..ila kwa hii hali ya sasa, hawa wadada maskini wanani-cost na hii mizinga yao, halafu hawa-contribute chochote in my life, naona niki-date na wadada wakishua, hata kama niki-spend money on them, najua nikiwaoa kuna namna nitakavyo benefit.
Kuanzia sasa nikifikiria kutongoza mdada, ntamchunguza kwanza nione ana nini, maybe kazi nzuri, au ametoka kwenye familia tajiri, la sivyo I don't care how beautiful she is, au ana chura kubwa kiasi gani, sitowaza kumuoa kamwe, maana nitaoa hasara na hatonifaidisha chochote.
Baada ya kuona kila mdada ninaemtongoza ananiomba pesa, nimegundua kuwa mapenzi ni biashara, kama mapenzi ni biashara kwani kuna ubaya gani na mm niki-benefit kwenye hiyo biashara.
Wenye pesa pia wana limited resources, many wants/needshaya maneno huez kuyasikia kwa mtu mwenye pesa zake
Hapana ni kusaidiana mwendo. Mimi Nina jimama moja hapa, sina haja na wale wa iPhone x na iPhone x max.Mwanaume anataka mwanamke anaejua kutafuta pesa ili hata kama siku akikwama kuwe na msaada. Ila mwanaume hawazi kutafuta mwanamke mwenye hela. huo ni udangaji wa kiume.
Eti nimebeba kama 5M hapaHapana ni kusaidiana mwendo. Mimi Nina jimama moja hapa, sina haja na wale wa iPhone x na iPhone x max.
Naunga mkono hoja ya braza Okoyoko.
Nambie mzee wa Dubuly,vp mbona unataka kubadilishia gia angani?