Kwa hali iliyopo sasa hivi, bora nianze kutafta wadada wenye kazi nzuri au wale waliotoka kwenye familia tajiri

Lakini huyu kaka anasema ukweli. Utakuta mdada kazi yake kujipodoa toka asubuhi hadi jioni, yeye anachat tu...ana team madai yake, page zote za umbea anazijua...kope kule, mikucha aaaargh hadi kuomba maji ya kunywa kinyaa, Nguo wanazovaa aibu tunahis wengine. Anajua kudangaaaaa...kwa style hii hata mi ningekuwa men ningesaka wanaojielewa. Hata kama huna ela ila kidogo una upeo Wa maisha. Sio mdada mda wote anawaza sijui sultan kafanyaje. The same kwa wanaume wanaobet...mi nikijua mwanaume unabet kwakweli nakushusha hadhi.
Nimekupenda bura na jina lako la skukuu ya wafanyakazi
 
Back
Top Bottom