miwani ya maisha
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,733
- 2,510
na bado kilio cha mzee Warioba......hachomoi hata akienda huko kwa TB JOSHUA
Nipo mkuu. Naona wakongwe bado mpo. Viva JFmamamama wewe mtu umeibukia wapi ?
Nipo mkuu. Naona wakongwe bado mpo. Viva JF[/QUOT
Nipo mkuu. Naona wakongwe bado mpo. Viva JF
Kuna watu hawana vyeti na walikuwa wachapa kazi vzr tu offisini....kutokutolewa hapo alipo kisa uchapaji kazi sio sababu iyo....mtafutieni nyingine ...
Hujanielewa ...mm kamwe siwezi mtetea Bashite....Natamani hata leo akamatwe....Mkuu,
Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu watu kuchapa kazi haswa bila ya kuwa na vyeti. Lakini hiyo ni tofauti na kuwa vyeti feki/kutumia vyeti vya mtu mwingine. Ndio maana pia hilo limewekwa katika makosa na adhabu yake ni kifungo.
Kaka ...
Vita ya madawa ya kulevya ipo pale pale, waambieni madoni wenu wa madawa waliowatuma kupunguza makali wamefeli, tutapigana vita to our last breath
Ngedele hawezi kumfungulia nyani kesi ya kula mahindi ya mkulima.Kosa la jinai kesi yake namba ngapi mahakamani? Au ripoti ya polisi namba ngapi?
Makonda usijali kuchukiwa na watu kwamanufaa yao, tunao kwitaji dar tupo wengi kuliko wanao kuchukia.Ngedele hawezi kumfungulia nyani kesi ya kula mahindi ya mkulima.
Hivi kigugumizi ndio stammering kwa kingeleza au?.... kama ndio hivyo, hivi ni ugonjwa au ulemavu? je kuna dawa ya huo u...?Kwa kweli amedhalilisha sana watu, na mbaya zaidi amemkufuru Mungu. Muda sio mrefu Mungu wa kweli atamshusha tu. Yeye baada ya kujibu tuhuma zinazomkabili, anakimbia huku a kule na kudai anasakamwa kwasababu "anapambana na madawa ya kulevya." Nachelea kusema kwamba tuhuma zinazomkabili zingekuwa sio kweli angeshajitokeza asubuhi na mapema na vyeti vyake halali ili kuonyesha waandishi wa habari, na mjadala ungeisha, basi! Na yule Boss wake "msema kweli mpenzi wa Mungu" bado ame kaa kimnya tu, baada ya kuchukua hatua...nashangaaa ni upenzi wa Mungu gani huu unaleta upendeleo dhahiri kabisaaa!!
Sisi wazalendo hatuna ubaya na Jina. kinachotuuma na kugushi vyeti mbaya zaidi walimu wa chekechea wamefukuzwa kazi kwa kutokuwa na vyeti.Makonda usijali kuchukiwa na watu kwamanufaa yao, tunao kwitaji dar tupo wengi kuliko wanao kuchukia.
Mpigeni vita tu, Makonda wetu. Ila mjue hamtanusurika. Vita zidi ya ufisadi na madawa ya kulevya iko palepale!! Nasema hamtasalimika kamwe.kwa siasa za hapa za ukada na kujuana ataendelea kuleta maajabu na matukio kila uchao na 2020 atapewa uwaziri mkuu
kwa kosa gani?Haitoweza kutokea..
Kwanza japokuwa alikuwa kashatengeneza mazingira ya kugombea ubunge ni kwamba ndoto zake za kuingia bungenu zimeyoyoma...
Sifa za kugombea ubunge keshapoteza na hata akipitishwa haitakuwa rahis kuchaguliwa tena kutokana na hii kashfa!
Lakini pia ashukuru kama hiyo 2020 itamkuta uraiani, huyu mtu inabidi awekwe korokoroni!
Ukisema watu wana husda na nafasi yake si kweli...mfano Mimi binafsi pamoja na wengine wengi tutakuwaje na husda kwa nafasi alonayo wakati uwezekano wa kuipata ni MDOGO sana au pengine haupo kabisa. Hapa walio wengi sana wanakerwa na MTU kuwa ama kutuhumiwa kuwa na vyeti vyenye utata halafu hataki kudhibitisha na bosi wake ambaye aliapa kutumbua yeyote mwenye vyeti bandia kakaa kimya huku watu wengine waliopatikana na kosa kama hilo waliondolewa bila kujali utendaji wao wala nafasi zao. Yeye kama mtumishi was umma anapaswa kuwajibika kwa tuhuma hizi. Habari ya kupambana na dawa za kulevya ni tofauti kwani wote tunaiunga mkono bora tu itumike njia ambayo haitaleta maswali wala lawama kama aliyokuwa anaitumia huyo Daudi Bashite ambapo ilionekana kama ya kujitafutia ujiko kwa rais pamoja na kuonyesha ubabe kwa watu wengine. MAKONDA (BASHITE) ONYESHA VYETI ACHA KUJIFICHA KATIKATI YA UWANJA UKIDHANI HUONEKANI....au kama mteuzi wako ameamua kukanyaga kauli zake mwenyewe ili akulinde basi tujulishwe ili tujuwe wazi kuwa hata rais wetu anapotoa kauli zinabagua baadhi ya watu...kwa maana hiyo imani yetu kwake itapungua kama si kwisha kabisa.Unajuwa katika maisha kuna njia nying sana za kupambana " kiukweli mi sion kosa la jamaa kama kweli alifanya ivyo kama tuhuma znavyoeleza " lakin kiupande mwingine jamaa ni shujaa kwa sababu alipambana mpka akahakikisha amepata njia ya kutokea maisha" kwa hiyo kila mtu ana njia yake ya kutokea maisha" issue sio vyeti hapa kwakwel tuwe wawazi tu issue ni kiti alichokalia watu kinawauma sana inamaana ni wivu na husuda tu za watu" wangapi wamefoji vyeti kwenhe makampun huko" wangapi wanatumia njia haramu za kutoka maisha watu wanawafanya misukule watoto wazazi na hata ndugu na jamaa hamuoni hao kama wanatenda dhambi" wangapi wanapesa haramu chafu katka nchii ni kwa nn awa jamaa kila cku mtu ukiingia tu kwenye mitanda kwa nni hamumuach jamaa bahat ya mwenzako usilalie mlango wazi ebu tujadilin mambo mengine kila cku jamaa tu kafanya hivi jafanya vile ## aaaaaaah mnaboa jamani mwachen jamaa wawatu
kwa hiyo kama hana.Huyu dogo anaweza kujinyonga...!!! Yeye ategue kitendawili, ana vyeti au hana. Mbona jibu jepesi sana. Anaogopa nini?
wewe sikushangai kwani mashamba makubwa ya bangi yako mkoa gani? jibu................... pole musoma yetu.Kwanza takwimu za wala unga hazizidi akina mama wanaokufa na ujauzito. Hawa ni viumbe wa kuhurumia zaidi kuliko wala unga. Mula unga anakuwa motivated na tabia yake.
Makonda oyee