sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Sote ni mashahidi wadau.
Zamani familia au ukoo au kabila likikazania elimu kwa lengo la kuoata mafanikio kupitia elimu njia ilikuwa imenyooka kabisa.
Kuna hata makabila fani akili za darasani ziliwabeba kweli na kurundikana kwenye vitengo kwasbababu walikuwa na vyeti na sifa.
Ila kwa hali hii inayoendelea sikuhizi shule zimerundikana vibaya mno hadi vijijini huko na elimu imerahisishwa, hadi kwenye vijiji ambavyo vilikuwa na hali duni utakuta sikuhizi kuna waliofaulu wengi tu (divisheni 1 hadi baadhi ya 4) kitu kinachofanya wawe na sifa za kujiendeleza vyuoni na hatimae kuwa na vyeti vya kupatia kazi.
Kwa hali hii sasa ni vyema kuwe na njia mbadala hususani biashara za watoto na wajukuu kurithi maana hivi vyeo sio vya kurithishana.
Kuna kabila naona huenda likapata anguko kubwa mno maana wao ni wao na elimu tu na kutegemea ajira, tofauti na wengine ambao wapo kote kote.
Zamani familia au ukoo au kabila likikazania elimu kwa lengo la kuoata mafanikio kupitia elimu njia ilikuwa imenyooka kabisa.
Kuna hata makabila fani akili za darasani ziliwabeba kweli na kurundikana kwenye vitengo kwasbababu walikuwa na vyeti na sifa.
Ila kwa hali hii inayoendelea sikuhizi shule zimerundikana vibaya mno hadi vijijini huko na elimu imerahisishwa, hadi kwenye vijiji ambavyo vilikuwa na hali duni utakuta sikuhizi kuna waliofaulu wengi tu (divisheni 1 hadi baadhi ya 4) kitu kinachofanya wawe na sifa za kujiendeleza vyuoni na hatimae kuwa na vyeti vya kupatia kazi.
Kwa hali hii sasa ni vyema kuwe na njia mbadala hususani biashara za watoto na wajukuu kurithi maana hivi vyeo sio vya kurithishana.
Kuna kabila naona huenda likapata anguko kubwa mno maana wao ni wao na elimu tu na kutegemea ajira, tofauti na wengine ambao wapo kote kote.