Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,830
Ni dhahiri mh Bernard Membe ametudanganya kuwa ana ushawishi mkubwa ndani CCM jambo ambalo sio kweli. Utulivu ulio ndani ya Chama unatia mashaka na kutufanya wengi tujiulize maswali hiki kinachoitwa team Membe ndani ya CCM kiko wapi? Au ni kwamba wamempuuza?
Mbona hatuoni mgawanyiko wa chama baada ya kufukuzwa Membe kama tulivyoaminishwa.
Ni dhahiri sasa kuwa Membe si chochote kwa CCM ila hasira ya wenye chama chao ni juu ya wahamiaji na kweli wamepewa somo kuwa CCM ina wenyewe.
My take. Uchaguzi huu ndio utakuwa mwepesi zaidi kwa CCM kuliko chaguzi zote zilizopita, upinzani umekuwa dhaufi mno.
Mbona hatuoni mgawanyiko wa chama baada ya kufukuzwa Membe kama tulivyoaminishwa.
Ni dhahiri sasa kuwa Membe si chochote kwa CCM ila hasira ya wenye chama chao ni juu ya wahamiaji na kweli wamepewa somo kuwa CCM ina wenyewe.
My take. Uchaguzi huu ndio utakuwa mwepesi zaidi kwa CCM kuliko chaguzi zote zilizopita, upinzani umekuwa dhaufi mno.